Nimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
Nimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
Nimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
Nimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
Nimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
Mkuu Riba ni negotiable kulingana na uwezo wa kulipa pamoja na risk factor.Ukienda benki na kuongea nao vizuri wanaweza kutenda muujiza.Unataka kiasi gani cha pesa,kwa muda gani na kwa riba kiasi gani ili tuangalie kama benki inaweza kukusikiliza?
Mkuu Riba ni negotiable kulingana na uwezo wa kulipa pamoja na risk factor.Ukienda benki na kuongea nao vizuri wanaweza kutenda muujiza.Unataka kiasi gani cha pesa,kwa muda gani na kwa riba kiasi gani ili tuangalie kama benki inaweza kukusikiliza?
Huo ni mkopo wa mlaji,Riba yake lazima iwe kubwa kote duniani.Consumer loans ni tofauti na Commercial loans.Riba ya mkopo lazima itoe faida ambayo inaweza kulipa gharama za kuendesha na kusimamia mkopo.Consumer loans lazima ziwe na Riba kubwa na serikali haijalenga kupunguza riba za consumer loans bali ni commercial loans.