Jaluo_Nyeupe
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 2,697
- 1,962
all the best, ukipata wawili fanya mpango unipe mmoja.
Voice... what makes u so sad, man. There are things that are kept public while others are kept in privateKweli sometimes huwa hatuoni bahati inapotuangukia...
Sooo Sad :disapointed:
There are currently 2 users browsing this thread. (2 members and 0 guests)
Yaani nimecheka mpaka basii !!!!!!
Voice... what makes u so sad, man. There are things that are kept public while others are kept in private
Hayaaaaaaaaaaaaaaaa!!!! Nitumie ile kitu basi!!!!!
yaani ushapata lakini bado unakusanya CV nyingine ??, Sasa sisi wengine tutafanya nini?, Mzee mmoja anatosha bwana ukishapata tuambie ili watu waache kutuma CV
Hakuna neno LD tusipofaana kwenye Shida kweli tutaweza kwenye Raha ?
Mimi what you see is what you get.., hakuna maana ndani ya maana ujuzi huo sina..Mmmmmh!!! Voice wakikusikia wale wanaojua kusoma katikati ya mstari utajua mwenyewe!!
Umeona eeh!! Ndo yanaanzaga hivi haya mambo. Karibu bomb moja limebaki hapa!!
Mimi what you see is what you get.., hakuna maana ndani ya maana ujuzi huo sina..
mwezi huu naona ni wa malevedave tuuu....watu mmmekazana kutafuta wenza...haya kila la kheri!:coffee:
umeninukuu vibaya mkuu. Yaani usiamini kila unachosoma. Vingine ni kujifurahisha tu, lakini yawezekana anayejifurahisha anataka assurance ndipo ajitoe. Hope bado hujanipata vya kutoshayaani ushapata lakini bado unakusanya CV nyingine ??, Sasa sisi wengine tutafanya nini?, Mzee mmoja anatosha bwana ukishapata tuambie ili watu waache kutuma CV
Inabidi uende tuition Voice, ujue kusoma katikati ya mstari!!
Tatizo la kusoma katikati ya mistari unaweza kusoma ambayo sio... Lakini huwa sikatae elimu, ni nani wa kunifundisha
Duhh Mkuu Nadhani nimekupata..., lakini we are making life so complicated.. kwahiyo when can we tell unajifurahisha na when can we tell upo serious..? mfano hapa mimi nipo serious au ninajifurahisha...umeninukuu vibaya mkuu. Yaani usiamini kila unachosoma. Vingine ni kujifurahisha tu, lakini yawezekana anayejifurahisha anataka assurance ndipo ajitoe. Hope bado hujanipata vya kutosha
Je nahitaji kuja na voucherMimi hapa!! Darasa linaanza sa 12 jioni!!
Duhh Mkuu Nadhani nimekupata..., lakini we are making life so complicated.. kwahiyo when can we tell unajifurahisha na when can we tell upo serious..? mfano hapa mimi nipo serious au ninajifurahisha...
Je nahitaji kuja na voucher
Ladies, iam looking for lifetime relationship. Iam looking for a young christian beautiful lady 25-28. I know all jf members are educated. Just send a msg to 0789704001 and i will find them there. No longolongo