Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,771
- 2,544
- Thread starter
- #61
Mkuu VOR nadhani jibu umepata hapo juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano mzuri ni mimi hapa yani hapa najifurahisha, sipo siriazi hata kidogo!! Wala sifikirii ninapoandika ilimradi najua sio tusi, situmii akili hapaa kabisa, Lakini ukinikuta niko siriaz, hadi keyboad inaomba msamaha, buttons za simu zinajishikiza mahali kabisa. Umenielewa tuition kidogo hiyo!!
Itakapo fika zamu yangu ya kutangaza nia watu watasema nadanganya
Sasa mimi huku ninachokiona ni maneno tu sababu siwezi kusoma body language..., Je Fonts za ukiwa serious na Ukiwa unatania zina tofauti ?, mfano hapa mwalimu LD mimi nipo serious au ?
Hapa hauko siriazi kivileee!! Ila jiachie tena kidogooo!!! Usifikirie sanaaaaa!!!
Relax yani!! Sio lazima waelewe kila unachokiandika if not necessary..........ha ha ha!!!stress free zone!!
Mhhh... Mbona nimerelax na nicheka meno yote yapo nje..., au inabidi niongeze hizi kwenye sentensi zangu :msela::msela::heh::majani7::whistle:
Kwahiyo siku nikitoa Bango la kutafuta Mwenza utasema nipo serious au ninatania?
Kwa wewe nitaamini uko siriazi manake najua kusoma hata katikati ya mistari. Daa we mwanafunzi mzuri sana, umeshafaulu. Nitakutumia zawani yako via PM!!
Itakapo fika zamu yangu ya kutangaza nia watu watasema nadanganya
Halafu haya mambo yanafurahisha sana. Hivi ndivyo inavyokuwaga? Once a woman always a woman. Haijalishi kama ni yeye kaweka bango au ni mwanaume, mwisho wa siku inabidi uanze upya kumtongoza japo aliitikia wito. Mapozi yenu yatawanukisha
Mkuu kwa hizi comment utapata kweli ???, anyway ukifanikisha ni PM unipe maujuzi.....
Asante sana..., huwa nipo serious ukinikuta Jukwaa la siasa au nitakapoweka bango langu la kutafuta mwenza.. lakini wakati mwingine, aahh mwendo......:msela:au labda wewe ndio unayenisoma sivyo....