Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Msaanii wa muziki nchini Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo ameteuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Kila la heri kwake. Jamaa alichoma nyingi SanaMsaanii wa muziki nchini Baba Levo ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini
Ndo nini hiki?? 🤔Kila la heri kwake. Jamaa alichina
Alichoma mkuu .alichina NI Kwa kilughaNdo nini hiki?? 🤔
Ok. Nakahisi labda Msamiati mpya umeongezwa kwenye kamusi.Alichoma mkuu .alichina NI Kwa kilugha
Kura 80 mkuu gap lilikuwa dogo Sana TOFAUTI na uhakika WA kushinda Jimbo dhidi ya zzk . Baba levo anaweza kushindaKumbe kura za wajumbe hazina maana kivile.
Hili ni miongoni mwa Majimbo ambayo wapinzani feki watapewa, ndio maana kawekwa huyu aliyefanya fujo siku ya kura za maoni ili iwe Rahisi kumpa ZittoMsaanii wa muziki nchini Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo ameteuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM kuelekea uchaguzi mkuu 2025
View attachment 3450429
Mie sio fan wa jamaa,but kama hakuna interference yoyote Baba levo anamshinda zitto mapema sana.Hapo ccm wanarahisisha kazi ya zito kabwe
BAba levo alipewa pesa nying na zito kabwe wakat wa kura za ndani
Wewe jamaa mbona unajionaga mjuaji sana?Hili ni miongoni mwa Majimbo ambayo wapinzani feki watapewa, ndio maana kawekwa huyu aliyefanya fujo siku ya kura za maoni ili iwe Rahisi kumpa Zitto
Najua kweliWewe jamaa mbona unajionaga mjuaji sana?
Unajua kipi zaidi ya siasa za chuki?Najua kweli
kwani uongo? Hilo jimbo inajulikana amepewa ZITTO kama zawadiWewe jamaa mbona unajionaga mjuaji sana?