HOLY BLINDFOLD
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 3,692
- 6,369
Sio Anaweza Kushinda...Baba Levo Ndio Mshindi Labda AfeKura 80 mkuu gap lilikuwa dogo Sana TOFAUTI na uhakika WA kushinda Jimbo dhidi ya zzk . Baba levo anaweza kushinda
Sio Anaweza Kushinda...Baba Levo Ndio Mshindi Labda AfeKura 80 mkuu gap lilikuwa dogo Sana TOFAUTI na uhakika WA kushinda Jimbo dhidi ya zzk . Baba levo anaweza kushinda
Lete ushahidiZitto hana cha kupoteza atakula za project ya wapinzani wa kupotezea maboya project ya CCM B na C. Yaani ACT na CHAUMA wazee wa ubwabwa kifupi wanachama wa ACT ni shabiki wa kuwa mabwabwa.
Nikupe ushahidi wewe kama nani?Lete ushahidi
Big noHili ni miongoni mwa Majimbo ambayo wapinzani feki watapewa, ndio maana kawekwa huyu aliyefanya fujo siku ya kura za maoni ili iwe Rahisi kumpa Zitto
Elimu ya darasani vs Elimu ya mtaa.Nawasikitikia wazazi ambao bado wanaa amini kwenye elimu Tanzania hii bado kidogo tu tutampata rais asie jua hata kuandika jina lake, one love baba levo umewaheshimisha ma iliteracy mtoto wa lukuga
Fullstop, kwishaaaa
Jimbo la pili la Odo, TNG mjiniHilo ndilo jimbo la kwanza CCM kuwagawia CCM -B na ugawaji wenyewe umefanyika kwa namna hiyo.
Kawekewa mpinzani dhaifu ili atoboe kuingia mjengoni.Zitto Kabwe ubunge bye bye
Hajui hata majukumu ya Bunge ni yapi! Li Chama limechama linapelekeshwa na wanamtandao.Msaanii wa muziki nchini Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo ameteuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM kuelekea uchaguzi mkuu 2025
View attachment 3450429
Watanzani hawaelewi hizo siasa !!wanakurupuka tuu !!! Hawajui huo ni mchezo wa CCM Ili wafadhili watoe pesaHili ni miongoni mwa Majimbo ambayo wapinzani feki watapewa, ndio maana kawekwa huyu aliyefanya fujo siku ya kura za maoni ili iwe Rahisi kumpa Zitto
Hata 2020 mlisema hivyoWatanzani hawaelewi hizo siasa !!wanakurupuka tuu !!! Hawajui huo ni mchezo wa CCM Ili wafadhili watoe pesa
Mm nimesimamia uchaguzi 2020 nilichokiona sitakaa nipige kura maishani mwangu!! Nolikumbuka alichosema Rais kaburu wa south Africa Peter BothaHata 2020 mlisema hivyo
Mbatia aliambiwa hivyo hivyo Ila hakupewa hata jimbo moja.Mm nimesimamia uchaguzi 2020 nilichokiona sitakaa nipige kura maishani mwangu!! Nolikumbuka alichosema Rais kaburu wa south Africa Peter Botha