Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Ina maana CHADEMA wanachukuliwa kwa kuzingatia GPA?
Anamaanisha chuo walimpa kazi pamoja na kuwa na GPA ya lower 2nd.
Ina maana CHADEMA wanachukuliwa kwa kuzingatia GPA?
Mbona wapo wengi sana watu wa design hiyo. Wengi ninaowajua mimi ni wenyeviti wa vijiji kupitia ccm na pia ni walimu wa shule za msingi na sekondari. Pia namfahamu mmoja ni headmaster na mwenyekiti wa kijiji.
Wote kwa ujumla wao wanafanya makosa kisheria kwani ni watumishi wa umma wanaojihusisha na siasa directly kwa kuwa viongozi wa kisiasa.
Ila kwa kuwa wapo upande wa ccm hawachukuliwi hatua zozote kwa mujibu wa sheria na taratibu.
GPA ya 3.4 Unapateje U-totorio then U-lecture?
Kweli Ud magumashi.
Ha ha ha ha umepatia sana.....kula LIKEMwingine yuko huku mbeya anaitwa MUNG'ONG'O..... ni mwalimu wa msingina anashiriki siasa kwa upande wa ccm ni kiongoz wa bendi ya TOT tawi la mbeya
Wewe huna Elimu ya Chuo Kikuu nini? Siamini Kama Kitila Mkumbo ana GPA ya 3.4 ( haiwezi kutokea) lakini ukweli ni kwamba viwango vya Elimu kwa Wahadhiri wote sio matakwa ya Chuo husika ni agizo la TCU kwamba walau wahadhiri wawe na GPA isiyopungua 3.5 (upper Second Class)Kwani kinachofundisha ni GPA au ni mtu. Kama chuo kimeweka sheria zake za katika kupokea walimu/lecturers Kwa kiwango flani cha GPA lazima ifanane na vyuo vyengine?
Nimekuwa nikifuatilia masahibu yanayowapata watumishi wa umma wanaojishughulisha na siasa hasa kwenye vyama vya upinzani wakati hali hio ni tofauti kwa wale walioko CCM.
Mathalani Prof. Mwesiga Baregu alikatishwa mkataba kwa madai kuwa alikuwa kiongozi wa chama cha siasa wakati sheria ya utumishi wa umma inamkataza mtumishi kuwa kiongozi wa chama cha siasa, vilevile Dokta Kitila Mkumbo alipewa barua ya maelezo nikwanini amekuwa kiongozi wa chadema ilhali nimhadhiri wa chuo cha umma!
Kama sheria ni moja kwa nini inatumika upande wa upinzani tu? Ndugu Revocatus Babeiya ni mwalimu wa Bunazi sekondari iliyoko wilaya ya missenye mkoani kagera,wilaya ambayo yeye ni mwenyekiti wa UVCCM na mjumbe wa halmashauri kuu taifa!
Cha ajabu shule hio iko kama kilomita mbili toka ziliko ofisi za mkuu wa wilaya na Mkurugenzi ambao ndo waajiri wake kwa maana hio taarifa zote wanazo lakini wanafumbia macho suala hilo,sasa utawala wa sheria uko wapi hapo ndugu zangu GREAT THINKERS?
Mkuu, unaweza kuthibitisha pasipo shaka yoyote??
Kovu kwa msukuma; kwa mzaramo kazi ya mungu
Namfahamu sana huwa hafundushi mara nyingi ni shughuli za chama!!
Yale yale ya Kitira Mkumbo, yeye hakufanywa kitu kwa kuwa ni Usalama wa taifa, ndio maana pamoja na kuwa na GPA ya lower second ya 3.4 walimchukua na kumfanya pandikizi ndani ya Chadema. Muda ufike tuwe na level play field tumechoka watu wachache kujifanya hii nchi ni yao. Hebu angalia sasa mathara ya huyu mwalimu asiyefundisha kwa taifa hili, inamaata mamia ya watoto wafeli kwa kulea CCM?
Kwani kinachofundisha ni GPA au ni mtu. Kama chuo kimeweka sheria zake za katika kupokea walimu/lecturers Kwa kiwango flani cha GPA lazima ifanane na vyuo vyengine?
By the way pia mimi ninaidadi nzuri tu ya makamanda wanaofanya kazi ofisi za umma huku ni viongozi wa Chadema so umbea tuache tukitafutana tutaharibiana wengi.
Kila chuo kina kanuni zake.
Isitoshe, chuo na shule ni vitu tofauti.
Wewe ni tunda la ujinga huo na madhambi haya.... sasa tupeleke wap na akafanyiww nini we gamba la simiyu?Mkuu peleka haya mambo kwenye vyombo vinavyohusika ili hatua zichukuliwe.