Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,804
- 13,044
Mmh yaani nikupende, nikujali na kukugharamia halafu UNIZINGUE...Sina muda wa kulipa kisasi.
Kisasi ni juu ya Mungu..huna haja ya kuhangaika.
Mungu mwenyewe huwa analipa,ni suala la muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mi adhabu yangu hata sio kubwa Ila ni Kukufanya malay* tuu.
Yaani nitasugua hiyo mbususu bureee na sikupi tenaa hata 100 nyeusi.
Ukiona unasuguliwa na uhudumiwi Tena then jiongeze.
Siku UKIJIFANYA eti umenifumania wewe, hapo ndio nitakuchana ukweli na itakua mwisho wetu.
Ukiwa mbishi basii nitaendelea Kukufanya fuc* mate, ukichoka utajiondoa maishani mwangu.
#YNWA