kama imekuuma sana mwache afu chukua mwingine af make sure anajua kama una mwingine na unamgonga.
hyo ni double unamuacha na dem mwingine unapiga.
kubaki na mwanamke unayejua kapigwa ni vigumu sana kwa mwanaume rijali.kupigiwa inaumaaaa.
guys nahitaji kujua tofauti na kuachana nae ni njia ipi ni best revenge kwa mpenzi(Wa kike) aliyekusaliti japo unaendelea kuishi nae? njia itakayomuumiza zaidi for long time I mean WWIII kati yake na Mimi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.