n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,013
- 2,684
Ripoti ya CAG imebainisha kuwa Fedha zilizokuwa kwenye Akaunti ya Escrow ni za umma.
Aidha, ripoti hiyo imezidi kuonyesha kuwa akaunti hiyo ilikuwa na Bilioni 306.
Ripoti inazidi kuanika kuwa TANESCO walikuwa wanaidai IPTL Tshs bilioni 321 zilizotokana na malipo yaliyopitiliza (overpayments) katika 'Capacity Charge'.
Tumedokezwa kuwa kuna uchakachuaji unakaribia kufanyika; tungependa waache umma ufahamu kuwa si siri tena, hii ni kwa Maslahi ya Watanzania na si wanasiasa wala watawala tu.
-------- Update --------
- CAG inadaiwa ameshapeleka taarifa TAKUKURU ili hatua za kisheria zichukuliwe.
- Juhudi zinaendelea Dodoma kuua mjadala juu ya sakata hili. Leo Kamati ya Nishati imekutana na Wizara na vyanzo vyetu vinabainisha wamelipwa posho ya Tshs milioni 3 kila mjumbe!
- Maswi na Werema hawabebeki; wanatakiwa kuwajibika. Muhongo kaponzwa na kauli zake. Ndulu, Likwelile hawana makosa (not ruling out)
Aidha, ripoti hiyo imezidi kuonyesha kuwa akaunti hiyo ilikuwa na Bilioni 306.
Ripoti inazidi kuanika kuwa TANESCO walikuwa wanaidai IPTL Tshs bilioni 321 zilizotokana na malipo yaliyopitiliza (overpayments) katika 'Capacity Charge'.
Tumedokezwa kuwa kuna uchakachuaji unakaribia kufanyika; tungependa waache umma ufahamu kuwa si siri tena, hii ni kwa Maslahi ya Watanzania na si wanasiasa wala watawala tu.
-------- Update --------
- CAG inadaiwa ameshapeleka taarifa TAKUKURU ili hatua za kisheria zichukuliwe.
- Juhudi zinaendelea Dodoma kuua mjadala juu ya sakata hili. Leo Kamati ya Nishati imekutana na Wizara na vyanzo vyetu vinabainisha wamelipwa posho ya Tshs milioni 3 kila mjumbe!
- Maswi na Werema hawabebeki; wanatakiwa kuwajibika. Muhongo kaponzwa na kauli zake. Ndulu, Likwelile hawana makosa (not ruling out)