Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,563
- 2,611
Ahahaha " Mdudu Handsome "Bado nguruwe sasa.
Ahahaha " Mdudu Handsome "Bado nguruwe sasa.
Siri za dunia hii ni nyingi na ambayo hatujafunuliwa bado ni mengi piaJe kuna ukweli mshana wowote ule
Kha !mkuu wewe kiboko! hebu soma paragrafu ya 4 na ya 5 kina majibu !au uliishia kusoma kichwa cha habari tu Watz na kusoma mbigu na ardhi ana wakisoma kuelewa majaaliwaSasa mkuu hujaelezea matumizi yake hiyo damu ya kondoo,, tunainywa ama?
Hii kitu imekaa vizuri sana. Yaweza kutumika kama kielezo "analogy", unapofundisha juu ya nguvu iliyomo katika damu ya Yesu.Unakuwa mfano unaoweza kujenga mantiki ya kiroho ya itikadi ya Kibiblia ya wokovu, ukombozi na ushindi dhidi ya dhambi na mkuu wa dhambi Shetani kama alivyosema mleta mada. Nimekubali hili somo.
Kwa kweli hio inaweza ikawa fact but navojua mm mnyama amina ya farasi ndio anatumiwa sana kutoa Anti Venom ya nyoka , Process ni ile ile alio sema ndugu [HASHTAG]#Mshana[/HASHTAG] , Farasi anachomwa sum ya nyoka mwili wake unareact na hio poison after some few hrs bas ni dawa ya sum ya nyoka.