Revalation: Siri ya damu ya kondoo

Revalation: Siri ya damu ya kondoo

uvugizi

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,348
Reaction score
1,097
America kuna kitongoji kinaitwa Thomasville , katika mji wa Georgia .Mji huu una nyoka wengi sana , mpaka wakapaita " The centre of america snake belt " , yaani nyoka wapo kila mahali .

Kwa mujibu wa Dr Ed hall wa Thomasville hospital kila wiki lazima mtu aletwe hospitali kutibiwa kwa kuumwa na nyoka , na takribani watu 20 kwa mwezi .

Cha kushangaza baada ya tafiti nyingi za kutibu watu walioumwa na nyoka , imegundulika , Mnyama KONDOO siyo mbuzi , damu yake ni tiba ya sumu ya nyoka.

Damu ya kondoo imeonekana ina uwezo mkubwa wa kuondoa sumu ya nyoka , ina kitu ndani yake kinaitwa ANTIVENOM IMMUNOGLOBIN.

Dawa hii inapatikana kwa kumuingizia kondoa VENOM ( Sumu ya nyoka ) , ikichanganyika na damu ya kondoo inatoa antibodies , ( kinga za mwili dhidi ya sumu ) ambayo baada ya michakato ya kisayansi , Mwanadamu akiwa injected anakuwa poisonous free.

Kwa sisi watu wa kiroho huu ni ufunuo wa Mungu kwetu ., kwani imeandikwa ,,,ufunuo 12:11,,,, Nao wakamshinda kwa damu ya mwana kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao.

Yohana 1:29. ,, Siku ya pili yake amwona yesu anakuja kwake, akasema tazama , Mwana kondoo wa Mungu , aichukuaye dhambi ya ulimwengu ..

Hakika ya rohoni yanathibitika mwilini , wale wa Theology wamenielewa ..



Be inspired
 
America kuna kitongoji kinaitwa Thomasville , katika mji wa Georgia .Mji huu una nyoka wengi sana , mpaka wakapaita " The centre of america snake belt " , yaani nyoka wapo kila mahali .

Kwa mujibu wa Dr Ed hall wa Thomasville hospital kila wiki lazima mtu aletwe hospitali kutibiwa kwa kuumwa na nyoka , na takribani watu 20 kwa mwezi .

Cha kushangaza baada ya tafiti nyingi za kutibu watu walioumwa na nyoka , imegundulika , Mnyama KONDOO siyo mbuzi , damu yake ni tiba ya sumu ya nyoka.

Damu ya kondoo imeonekana ina uwezo mkubwa wa kuondoa sumu ya nyoka , ina kitu ndani yake kinaitwa ANTIVENOM IMMUNOGLOBIN.

Dawa hii inapatikana kwa kumuingizia kondoa VENOM ( Sumu ya nyoka ) , ikichanganyika na damu ya kondoo inatoa antibodies , ( kinga za mwili dhidi ya sumu ) ambayo baada ya michakato ya kisayansi , Mwanadamu akiwa injected anakuwa poisonous free.

Kwa sisi watu wa kiroho huu ni ufunuo wa Mungu kwetu ., kwani imeandikwa ,,,ufunuo 12:11,,,, Nao wakamshinda kwa damu ya mwana kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao.

Yohana 1:29. ,, Siku ya pili yake amwona yesu anakuja kwake, akasema tazama , Mwana kondoo wa Mungu , aichukuaye dhambi ya ulimwengu ..

Hakika ya rohoni yanathibitika mwilini , wale wa Theology wamenielewa ..



Be inspired
Hii kitu imekaa vizuri sana. Yaweza kutumika kama kielezo "analogy", unapofundisha juu ya nguvu iliyomo katika damu ya Yesu.Unakuwa mfano unaoweza kujenga mantiki ya kiroho ya itikadi ya Kibiblia ya wokovu. Mfano huo unafafanua fundisho la ukombozi na ushindi wa damu ya Yesu dhidi ya dhambi na mkuu wa dhambi Shetani kama alivyosema mleta mada. Nimekubali hili somo.
 
Wanyama wa kikristo hadhuriki Na nyoka. Nguruwe Na kondoo
 
Thats means yesu kristo mwenyewe ndiye kondoo aliyebeba uovu(sumu ya dunia ambazo ni dhambi zetu)na hazikumdhuru bali sisi tukawa huru kupitia damu yake.
Ukweli unathibitika kwa nini Mungu alimtumia kondoo na siyo mnyama mwingine kama panya au mbuzi na wengineo.
Hata kabla ya ujio wa kristo dhambi ya mwanadamu iliondolewa kwa njia ya mnyama damu yake but now we bealive through jesus christ.Hii haiwezi kuondoa ukweli huu ktk mnyama kondoo.
Tufuge kondoo kwa wingi pia tumche Mungu.
 
Back
Top Bottom