Rev. Moses Maghembe ajitoa T.A.G

Kifupi
Hakuna dini itakayompeleka mtu mbinguni

Naamini haya makanisa nayo hayamfikishi mtu Mbinguni

Sambazeni injili ya Yesu aliehai

Sio maghembe tu

HATA yulepast alikuwa mbagala sasaivi.yuko.mbele.kidogo anamsimamo sanaa

Nae kajitoaa TAG
KAANZISHA LALE CHRIST.....USIMFWATE MTU FWATA MUNGU ALIE HAI
 
Kwa hiyo injili adimu ni kuhubiri msicheze nyimbo zenye hadhi ya hip hop au regae,kablabya kuoana msifanye friendship and dating,n.k.
 
Kwa hiyo injili adimu ni kuhubiri msicheze nyimbo zenye hadhi ya hip hop au regae,kablabya kuoana msifanye friendship and dating,n.k.
hip hop/reggea ni utamaduni(ni imani,ni roho) UTAMADUNI wa kidunia ,haitakiwi kuingiza utamaduni wa midundo ya hip hop kanisani katika nyimbo za injili.Sio hip hop pekee miziki yote ya kidunia ni ibada kamili /roho kamili za miungu ya dunia(kuzimu).Na lengo lake ni kulaani maisha ya wasikilizaji na kuwajaza roho chafu za dhambi.

UZINZI ni dhambi vijana ,waepuke UZINZI
wanatakiwa waombe kwa Mungu awapatie NDOA sio ku date sex partners washikaji,wapenzi/UZINZI.

DHAMBI zinajulikana kwa mujibu wa neno la Mungu BIBLIA na muongozo wa Roho mtakatifu.

Hitimisho..KILA MTU afanye kama alivyokusudia moyoni mwake si kwa lazima ,na amani ya Mungu iamue moyoni mwake anacho ona ni sahihi kwake kufanya.
 
Reactions: K11
Tumesikia na tunaheshimu maoni yako. Swali dogo ni hayo uliyoyatqja hapo juu ni maoni yako namna vile wewe unavyoona?
Yote yamekatazwa na neno la Mungu na Roho mtakatifu pia anatuarifu kuyaacha.
 
Huyu si ndiye aliwakosoa mabinti wanaochekacheka siku ya Harusi kwamba bangili zao tayari zina crack
 
Embu twende mstari kwa mstari. Taja mstari na jambo lililokatazwa
Kuna mstari gani unaokataza SIGARA,SHISHA,MADAWA YA KULEVYA...je kwa vile hakuna mstari unaokataza kuvuta sigara ,je tuseme sigara si dhambi??
Tunatakiwa tuenende tukiongozwa na ROHO mtakatifu amani ya Kristo iamue mioyoni mwetu.
.Kila mtu na afanye kama alivyokusudia moyoni mwake si kwa lazima wala si kwa huzuni
akiongozwa na amani ya moyo wake na neno na Roho mtakatifu.
 

Hiyo mifano uliyoweka kuna mistari inayoelekeza kuwa ni mbaya

Tupatie mifano mingine kuntu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…