Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 2,913
- 3,899
Kimsingi mitandao ni mizuri ila wa mitandaoni ni changamoto kubwa sana mnaandika vitu bila kuhoji pande usika ambazo zingesaidia kupata habari sahihi na mkaandika ili uma upate kitu cha msingi, nimesoma hapa mwingine anasema TAG imekwisha sasa unajiuliza kwa lipi TAG imekwisha? Naomba niwape hapa ukweli kilichotokea:-
1, Mzee magembe kaanzisha dhehebu lake linaitwa PCC na lina matawi mpaka Kanada na huko msumbiji
2) kamsimika mke wake kuwa Askofu mkuu hapa Tanzania na kijana wake kuwa senior pastor
3) makao makuu ya Dunia ya dini hii yatakuwa mwenge Dar es salaam
4) yeye ndo mwanziliishi wa hilo dhehebu Duniani,
Kwa mazingira hayo mnategemea atabaki TAG?
Jambo lingine Mzee kawaita viongozi kakabidhi Mali zote za TAG kwa amani bila msuguano wowote sasa mlitaka viongozi wasipeleke mchungaji hapo T. A. G Majumba sita?
Hebu msipende kuandika vitu bila taarifa sahihi.
1, Mzee magembe kaanzisha dhehebu lake linaitwa PCC na lina matawi mpaka Kanada na huko msumbiji
2) kamsimika mke wake kuwa Askofu mkuu hapa Tanzania na kijana wake kuwa senior pastor
3) makao makuu ya Dunia ya dini hii yatakuwa mwenge Dar es salaam
4) yeye ndo mwanziliishi wa hilo dhehebu Duniani,
Kwa mazingira hayo mnategemea atabaki TAG?
Jambo lingine Mzee kawaita viongozi kakabidhi Mali zote za TAG kwa amani bila msuguano wowote sasa mlitaka viongozi wasipeleke mchungaji hapo T. A. G Majumba sita?
Hebu msipende kuandika vitu bila taarifa sahihi.