Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,913
Licha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
Licha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
heheheeh na huyu ndio BJ bana. lolMimi sipo Bujibuji...amani iwe nanyi!...Mbarikiwe!!
Mimi nina mpango wa kumuandalia pambano(boxing) na malaria sugu
nimekugongea thanks kwa sababu ya hapo kwenye redLicha ya kwamba hapa JF nafurahishwa na michango ya watu wengi lakini huyu jamaa ananitengenezea sana siku zangu.
Mungu akupe maisha marefu na mapepo wachafu wanaosababisha BAN wakutoke na wamuingie Malaria Sugu mara moja.
heheheeh na huyu ndio BJ bana. lol
Hahahahahaah haya Kamanda! tupo pamoja...
Mimi nina mpango wa kumuandalia pambano(boxing) na malaria sugu
hahahha!! rev hii ni kweli? natamani kujua hata id moja tuKumbukeni huyu Rev ana IDs kama 18 hadi jana...!
Hivi bujibuji kila mtu akileta sredi za namna hii itakuaje hapa JF??
hahahha!! rev hii ni kweli? natamani kujua hata id moja tu