Rev. Damasius Mkenda afiwa na mkewe

Rev. Damasius Mkenda afiwa na mkewe

Jokanana

Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
41
Reaction score
12
Rev.Damas Mkenda ambaye ni memba humu amefiwa na mkewe tangu jana tarehe 25,Februari,2013 .Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Rombo kilimanjaro inaendelea pale Mbezi kwa msuguri.Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.Amina
 
Pole sana Rev. Mkenda kwa msiba. Mungu akupe nguvu na uvumilivu.
 
Pole Rev.Mkenda Mungu awape moyo wa faraja wewe na familia yote ktk kipindi hiki kigumu"
 
Pole sana Rev. mungu akupe farja na uvumilivu!
 
Jamani tuwakilishe nyie mlio karibu na Rev. Mkenda na mumpe pole zangu. BWANA ALITOA BWANA AMETOA
 
Mpe pole REV Mkenda wana JFtuko nae pamoja ktk kipindi hiki kigumu,bwana amtangulie
 
Rev.Damas Mkenda ambaye ni memba humu amefiwa na mkewe tangu jana tarehe 25,Februari,2013 .Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Rombo kilimanjaro inaendelea pale Mbezi kwa msuguri.Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.Amina
pole sana kaka,
my ex-worker pale yana tyres
 
pole sana Mkenda yeye ametangulia sisi tupo nyuma yake Amen
 
Pole sana Rev. Mungu aipe nguvu familia yako katika kipindi hiki kigumu.
 
Pole Rev. Mkenda. Bwana akupe nguvu na matumaini.
 
kwa msuguri sehemu gani wakuu niende nipo mbezi mwisho hapa

Ni karibu na kanisa la KKT la pale kwa Msuguri.Ukitoka Ubungo kuelekea Morogoro ni upande wako wa kushoto.
 
Back
Top Bottom