Retrieving error

Retrieving error

askari mpole

Member
Joined
Mar 24, 2014
Posts
19
Reaction score
2
habari wakuu, natumia samsung galaxy tab..kuna mtu alichezea pattern mara nying na kusababisha simu kujifunga kwa kutaka gmail, nilikuw nimesahau password za gmail hivyo nikaamua kuireboot simu..basi tangu hapo nikiingia kwenye playstore kupakua application inaleta jibu hili "error retrieving".....naomba msaada wakuu..
cc chief mkwawa...kikulacho
 
Nenda setting General Apps hafu All Apps kisha ifungue hiyo kisha Clear Chache na Clear Data.
Ikikataa tena itabidi uwe unadownload app kwa njia ya apk
Na last option ni kutafuta latest apk ya Google Play kisha install
 
Nenda setting General Apps hafu All Apps kisha ifungue hiyo kisha Clear Chache na Clear Data.
Ikikataa tena itabidi uwe unadownload app kwa njia ya apk
Na last option ni kutafuta latest apk ya Google Play kisha install

nimejaribu kuclear mkuu lakin imekataa....vp nawez download apk ya google?
 
habari wakuu, natumia samsung galaxy tab..kuna mtu alichezea pattern mara nying na kusababisha simu kujifunga kwa kutaka gmail, nilikuw nimesahau password za gmail hivyo nikaamua kuireboot simu..basi tangu hapo nikiingia kwenye playstore kupakua application inaleta jibu hili "error retrieving".....naomba msaada wakuu..
cc chief mkwawa...kikulacho

Mkuu wakati unaendelea kusubiri kupata utatuzi wa tatizo lako, Install 1mobile.com kwenye tab yako, hakika itakusaidia. Inafanya kazi kama google play
 
Nilijua tu itakuwa voda.

Make sure apn zako hazina proxy wala port

Yaani zifanane na zangu
attachment.php
 

Attachments

  • 1435575849796.jpg
    1435575849796.jpg
    16.3 KB · Views: 89
Back
Top Bottom