askari mpole
Member
- Mar 24, 2014
- 19
- 2
habari wakuu, natumia samsung galaxy tab..kuna mtu alichezea pattern mara nying na kusababisha simu kujifunga kwa kutaka gmail, nilikuw nimesahau password za gmail hivyo nikaamua kuireboot simu..basi tangu hapo nikiingia kwenye playstore kupakua application inaleta jibu hili "error retrieving".....naomba msaada wakuu..
cc chief mkwawa...kikulacho
cc chief mkwawa...kikulacho