TANZIA Rest In Peace Ngosha Joseph Pande naibu DPP, Kifo chako kimeniumiza

Da! Kifo cha Pande kimeniumiza mno. Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi. Alishawahi kumkatalia RCO wa Songwe alipotaka niunganishwe kwenye mashtaka ya kuvuruga uchaguzi wa mamlaka ya mji mdogo Mlowo Mbozi na kufanya vujo iliyokuwa inamkabili aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Pascal Haonga na wenzake. Baada ya RCO kukataliwa kwa sababu alikuwa na roho mbaya akanifungulia mashtaka mengine ya uchochezi, Pande akamuambia alete ushahidi RCO huyo kachemka kesi ikafutwa mahakamani baada ya ofisi ya DPP kushindwa kuleta mashahidi.

Alifanya hivyo kwa RCO wa Mbeya na askari wengine waliokuwa wananipikia kesi za mchongo. Alipohamishwa 2019 baadaye 2020 nikapewa kesi ya mchongo ya drugs trafficking ambayo ilisukwa na aliyekuwa kuwa RPC wa Mbeya mzee Mtei, RCO anaitwa Katimbo na ASP mmoja anaitwa Siyame, hawa siku yao inakuja lazima waje wajute kwa haya waliyoyanifanya.

Rest In Peace Ngosha Pande.
View attachment 2848217
Umengoja kafa ndio unasifia ulitakiwa kuweka wazi kabla!
 
Da! Kifo cha Pande kimeniumiza mno. Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi. Alishawahi kumkatalia RCO wa Songwe alipotaka niunganishwe kwenye mashtaka ya kuvuruga uchaguzi wa mamlaka ya mji mdogo Mlowo Mbozi na kufanya vujo iliyokuwa inamkabili aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Pascal Haonga na wenzake. Baada ya RCO kukataliwa kwa sababu alikuwa na roho mbaya akanifungulia mashtaka mengine ya uchochezi, Pande akamuambia alete ushahidi RCO huyo kachemka kesi ikafutwa mahakamani baada ya ofisi ya DPP kushindwa kuleta mashahidi.

Alifanya hivyo kwa RCO wa Mbeya na askari wengine waliokuwa wananipikia kesi za mchongo. Alipohamishwa 2019 baadaye 2020 nikapewa kesi ya mchongo ya drugs trafficking ambayo ilisukwa na aliyekuwa kuwa RPC wa Mbeya mzee Mtei, RCO anaitwa Katimbo na ASP mmoja anaitwa Siyame, hawa siku yao inakuja lazima waje wajute kwa haya waliyoyanifanya.

Rest In Peace Ngosha Pande.
View attachment 2848217
mdude, nilikuwa sijui kama una akili hivi. kwetu sisi tunaofanya kazi mahakamani kama mawakili wa kujitegemea, tunamjua sana huyu jamaa. alikuwa mtu mwema sana pamoja na kwamba alipambana sana na watu waovu kama hao. nilishawahi kufanya kazi ofisi ya dpp, hao watu hata wakiwashitaki jueni kuwa sio wao, wanashinikizwa mno na wakati mwingine wanakubali yaishe kesi ifunguliwe wakijua inaenda kufa mahakamahani ili waliopeleleza na kusuka kesi waaibike wao. ni ofisi ngumu sana hiyo.
 
Da! Kifo cha Pande kimeniumiza mno. Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi. Alishawahi kumkatalia RCO wa Songwe alipotaka niunganishwe kwenye mashtaka ya kuvuruga uchaguzi wa mamlaka ya mji mdogo Mlowo Mbozi na kufanya vujo iliyokuwa inamkabili aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Pascal Haonga na wenzake. Baada ya RCO kukataliwa kwa sababu alikuwa na roho mbaya akanifungulia mashtaka mengine ya uchochezi, Pande akamuambia alete ushahidi RCO huyo kachemka kesi ikafutwa mahakamani baada ya ofisi ya DPP kushindwa kuleta mashahidi.

Alifanya hivyo kwa RCO wa Mbeya na askari wengine waliokuwa wananipikia kesi za mchongo. Alipohamishwa 2019 baadaye 2020 nikapewa kesi ya mchongo ya drugs trafficking ambayo ilisukwa na aliyekuwa kuwa RPC wa Mbeya mzee Mtei, RCO anaitwa Katimbo na ASP mmoja anaitwa Siyame, hawa siku yao inakuja lazima waje wajute kwa haya waliyoyanifanya.

Rest In Peace Ngosha Pande.
View attachment 2848217
Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Tanzania hii bado kuna good guy's, MHSRIP, na umeacha legacy nzuri na bila shaka family yako itatembea kifua mbele
 
Da! Kifo cha Pande kimeniumiza mno. Alipokuwa ofisi ya DPP kanda ya Mbeya kabla ya kupandishwa cheo mara kadhaa alikuwa anakataa kesi za mchongo dhidi yangu alizopelekewa na polisi. Alishawahi kumkatalia RCO wa Songwe alipotaka niunganishwe kwenye mashtaka ya kuvuruga uchaguzi wa mamlaka ya mji mdogo Mlowo Mbozi na kufanya vujo iliyokuwa inamkabili aliyekuwa mbunge wa eneo hilo Pascal Haonga na wenzake. Baada ya RCO kukataliwa kwa sababu alikuwa na roho mbaya akanifungulia mashtaka mengine ya uchochezi, Pande akamuambia alete ushahidi RCO huyo kachemka kesi ikafutwa mahakamani baada ya ofisi ya DPP kushindwa kuleta mashahidi.

Alifanya hivyo kwa RCO wa Mbeya na askari wengine waliokuwa wananipikia kesi za mchongo. Alipohamishwa 2019 baadaye 2020 nikapewa kesi ya mchongo ya drugs trafficking ambayo ilisukwa na aliyekuwa kuwa RPC wa Mbeya mzee Mtei, RCO anaitwa Katimbo na ASP mmoja anaitwa Siyame, hawa siku yao inakuja lazima waje wajute kwa haya waliyoyanifanya.

Rest In Peace Ngosha Pande.
View attachment 2848217
Sasa jichanganye uone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom