Rest In Peace my Brother

Rest In Peace my Brother

Pendaelli

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2014
Posts
12,105
Reaction score
35,135
Ni jana tumemaliza maziko yake, alikuwa ni mtu wangu wa karibu sana kwangu kama workmate.
Kwa kipindi kifupi tulichofahamiana alikuwa ni mtu mwema kwa watu wa rika lote na ndio maana wengi tulimlilia kutoka ndani ya moyo.

Alikuwa ni mwenye kupenda kazi yake mpaka karibu na mwisho kabisa wa maisha yake japo alikuwa anatembea na tatizo kubwa mwilini mwake.

Yeye ameondoka sisi tutamsahau ila dunia haitamsahau kamwe

Funzo kwetu ingawa kazi ndio kitu kinacho tuwezesha kuishi lakini tusisahau kuujali mwili wetu.

Sikua najua kama ukiondokewa na mtu wa karibu inauma kwa kiasi hiki, naombeni dua za Rehema kwa ndugu yangu huyu

Pumzika kwa amani ndugu yangu
 
Pole Sana kuondekewa kunauma Sana kwa mtu unaempenda au wa karibu yako
 
Pole sana mkuu, Mwenyezi Mungu akujalie nguvu katika kipindi hiki unacho pitia.
 
Thamani ya mtu huonekana akipotea, lakini wengine thamani yao ni ya papo kwa papo, wanapendwa na hawasahauliki...
Tujifunze kutoka kwake

Mwendo ameumaliza

Tumuombee ndugu yetu Pumziko la milele
 
Pole sana mkuu.
Marehemu Alikuwa anasumbuliwa na nini?
Ukiweka wazi ugonjwa unaweza ukaokoa maisha ya wengine humu.
Apumzike kwa amani.
 
Usiogope hata wewe siku isio na jina utasepa kama alivyosepa mwanao huyo, sote tu wapitaji..
 
Back
Top Bottom