Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,675
- 40,926
Ama kwa hakika tumeondokewa na Jembe.
Nilikusupport sana kwakua mimi ni muumini wa falsafa za matendo.
Kupiga kazi bila porojo. That's my motto.
Ingawa umemaliza mwendo. Rest assured kwamba vijana wako tupo na tutaendeleza yale yote mema uliyoyawaza kuyafanya.
Tulikusuport na makamu wako ambaye kwa sasa anaendelea pale ulipopaacha,
Tutamsupport naye pia kama Rais wa nchi yetu kwa sasa.
Mungu aibariki nchi yetu.
Nilikusupport sana kwakua mimi ni muumini wa falsafa za matendo.
Kupiga kazi bila porojo. That's my motto.
Ingawa umemaliza mwendo. Rest assured kwamba vijana wako tupo na tutaendeleza yale yote mema uliyoyawaza kuyafanya.
Tulikusuport na makamu wako ambaye kwa sasa anaendelea pale ulipopaacha,
Tutamsupport naye pia kama Rais wa nchi yetu kwa sasa.
Mungu aibariki nchi yetu.