Rest in peace comrade Chacha Wangwe

Joined
Jul 6, 2014
Posts
5
Reaction score
6
KUMBUKUMBU YA HAYATI CHACHA WANGWE

Ni miaka sita(6) sasa tangu alipotutoka aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tarime,Diwani wa kata ya Tarime Mjini, Waziri kivuli wa Maji, Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Baba yetu mpendwa Hayati Chacha Zakayo Wangwe kwa kifo kilichogubikwa na sintofahamu mpaka leo,kilichotokea mnamo tarehe 28/07/2008 maeneo ya Pandambili,wilayani Kongwa.

Kwa niaba ya Familia ya Wangwe, wananchi wa Tarime na wanachama wa CHADEMA napenda kusema kuwa tanakumbuka sana uwepo wako Comrade Wangwe,na tutakukumbuka na kukuenzi daima..Mbele yako,nyuma yako.

REST IN PEACE TATA.
M B O R A K E (KUTAKUCHA)
 
Alale kwa amani naomba kumbukumbu ya kifo chake isihusishwe na mambo mengine ya ajabu ajabu
 
Apumzike kwa amani! Lakini vibaka wa buku 7 watapata mtaji wa kisiasa sasa hivi...

Tuliwapuuza tumewapuuza na tutaendelea kuwapuuza kinyago ulichokichonga kamwe hakiwezi kukutisha
 
Punzika kwa amani kamanda wetu sisi bado tunaendelea na mapambano dhidi ya interahamwe hawa
 
Nimepata mashaka na nia yako kwa uzi huu. Hiyo tarehe ambayo nimeibold kweli ndio tarehe husika? Kama umeleta mada yako kwa hila ona wewe muhusika unavyoanza kujichanganya katika kitu muhimu kama hicho. BTW ni kweli kuwa wewe ni mmoja wa waratibu wa ACT?
 
Ni matumaini yangu kule aliko ndugu yetu Chacha Wangwe anapumzika kwa amani huku akiangalia jinsi Sheria ya Karma inayosema ''Whatsoever a man soweth, that shall he also reap''. inavyowatafuna viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sasa kama ilivyofanyika pia hivi karibuni kwa Zitto, Dr. Kitila, Samson Mwigamba na wengine wengi.

Kila tunapokutana na jina lako, hutufanya vile vile kuzilejea kumbukumbu za andiko lako linalosema ''JARIDA LA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME'' ambalo linapatikana hapa,

Chacha Wangwe aibuka toka kuzimu | Tarishi Hauwawi

Katika Jarida hili, kuna kipande cha paragraph ambacho tulikichunguza na kugundua ndiyo kitovu cha mwanzo wa sheria ya Karma kwa baadhi ya viongozi na wanachama wa CHADEMA ambapo umesema,
WAPENDA HAKI NA USAWA TUTAZIDI KUKUKUMBUKA DAIMA!
 
RIP Comrade, makamanda wa chadema tunakukumbuka sana, tunakumbuka uwezo wako wa kuipigania haki za wanyonge
 
Tujuwe nani kausika na kifo cha chacha wangwe anaejuwa ataje

Mkuu unauliza makofi polisi,waliofnya unyama ni viongoz wa chadema akiwemo mbowe na mwenzake slaa na baadhi ya viongoz wengine,ila naona damu ya zakayo chacha inawatafuna na ndio hyo mpaka leo inawakosesha amani kwenye chama chao cha kikabila
 
Mkuu unauliza makofi polisi,waliofnya unyama ni viongoz wa chadema akiwemo mbowe na mwenzake slaa na baadhi ya viongoz wengine,ila naona damu ya zakayo chacha inawatafuna na ndio hyo mpaka leo inawakosesha amani kwenye chama chao cha kikabila

A failure always have a reason to back up his folly.
 
ndo maana namuogopa milya kuliko AK47. RIP
 
Mkuu unauliza makofi polisi,waliofnya unyama ni viongoz wa chadema akiwemo mbowe na mwenzake slaa na baadhi ya viongoz wengine,ila naona damu ya zakayo chacha inawatafuna na ndio hyo mpaka leo inawakosesha amani kwenye chama chao cha kikabila

Mbowe na Slaa! Kwa hiyo serikali inawaogopa hawa jamaa hata wakiua hawakamatwi! Mhh! Tuache kufike huko siasa za namna hii hazijengi bali hata wewe nafsi yako kuna wakati inalipuka na kukusuta.

R.I.P Kamanda chacha wangwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…