mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti