Repoti ya waziri wa afya kuhusu loliondo

mmzalendo

Senior Member
Nov 1, 2010
165
1
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti


 
Unaitaka riporti ya nini mkuu kama unaumwa nenda kapate kikombe! Kwa maelezo zaidi soma magazeti, sikiliza redio na watafute walio kwenda huko,
 
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti



Mmm,thread zingine.Ni kama maji yanayotiririka kwenye mtaro!Duh.
 
Heading yako ina kitu tofauti na content!

Ndugu yangu hutakaa upate hicho unachotaka, maana hapa kwetu hata mambo ya tiba yamemezwa na wanasiasa!
We fanya lililo kwenye uwezo wako na ujiridhishe...PLAY YOUR PART!
 
yaani mie huwa ninakereka sana ninapoona mtu ka post utumbo, please tunaomba usiharibu title ya blog hii
 
mtu kukuelewa inabidi arudierudie kusoma ka mara 5 ndo akuelewe.unataka ripoti au unalalamikia wizara ya afya?sijakusoma
 
Ndugu,kama unaumwa nakushauri uende loliondo;usisubiri ripoti usiyojua inatoka lini as we knw our government talk witout any target date to deliver!

Ushauri wa bure, nenda angali unaweza kwenda!
 
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti




Mmzalendo ana logic bcoz ameonesha concern yake kuwa Raslimali za nchi zimepotea bure nadhani Kiasi hicho Yaani Posho (Perdiem na Diesel) zingeweza kufanya kazi nyingine yenye manufaa kwa taifa badala ya huo utafiti ambao kimsingi hauna tija kwa taifa na kwa wananchi wake!!!
 
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti




Tatizo ni kuwa hata hao wataalam wenu watakapo fika huko watakacho fanya ni kupata kikombe na kurudi then unataka nini? na unategemea nini, Utalaam ukisha fanywa siasa! hapa Tanzania kila kitu ni siasa.
 
waziri wa afya alipompiga ban babu wa loliondo
alisema kuna matatizo mengi ikiwemo dawa kuthibitishwa
wataalamu walitumwa kutoka wizara ya afya makao makuu
kwenye loliondo, japo kuliakua hakuna umuhimu wakufanya hivyo maana arusha kuna wataalamu wenye uwezo au kilimanjaro
hapa ni posho tu ilikua inatembea
baada ya wafuasi wa babu kupiga kelele serikali ilimtuma lukuvi
kuja kusawazisha mambo bila kuja kwamba wiraza hiyo haimuhusu
sasa waziri wa afya tuna taka repoti ya hao watu wako
na tujulishe dawa umekubalika kitabibu kuliko kuingia mti


?????duh!
 
mmzalendo ana logic bcoz ameonesha concern yake kuwa raslimali za nchi zimepotea bure nadhani kiasi hicho yaani posho (perdiem na diesel) zingeweza kufanya kazi nyingine yenye manufaa kwa taifa badala ya huo utafiti ambao kimsingi hauna tija kwa taifa na kwa wananchi wake!!!


shukurani kwa kuweka sawa lakini huyu paka jimmy hao malofa wenzie wanauelewa ndogo kila kitu mpaka mtafuniwe mimi sijui taaluma zenu nini lakini sio mwandishi ila nina haki zote za msingi kusema ninachofikia kama umeona nilichoongea sio issue kwako unaweza kupita tu paka jimmy sikujui lakina nadhani una ajenda binafsi na thread zangu ila hapa umekanyaga chini sito kujibu tena after this wewe ni matokeo ya ufisadi unamaliza nchi pumbuv....
 
yaani mie huwa ninakereka sana ninapoona mtu ka post utumbo, yaani natamani huyu jamaa angekuwa karibu yangu nikambonyeza kibao. Yaani wewe ukisha lewa ndio unaona upost ududuzi humu jamii f. Please tunaomba usiharibu title ya blog hii


kama kweli wewe ni mtu wa hasira anza na jk mbona kakufanya masikini na kukuweka gizani ujampandishia mzuka
 
Back
Top Bottom