Kuna siku nilimsikia JK akisema watamshughulikia mtumishi yeyote wa umma mwenye mali zinazozidi kipato! Hii sijaiona ikisimamiwa na ndio maana watumishi wanajichotea na kumiliki utajiri kwa kufuru, kweli Tz itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno (vyeo)