Report: Iranians use Israeli-made app during protests

Report: Iranians use Israeli-made app during protests

Taifa la Israel linapambana na Iran kwa nguvu nyingi sana lakini linasahau uhalisia mmoja mchungu kwamba mshindani wake mkubwa kwa Iran miaka mingi ijayo siyo Iran.

Bali taifa la Kiislamu ambalo liko barani Ulaya na Barani Asia, taifa pekee la kiislamu ambalo ambalo wasomi wake wana ushawishi mkubwa sana duniani na taifa pekee la kiislamu ambalo liko ndani ya Umoja wa Kujihami wa NATO.

Hili taifa lina jiografia nzuri mno inayounganisha mataifa ya Ulaya Magharibi na Ulaya Mashariki kupitia bahari nyeusi na Mediterranean, pia kuunganisha bara la Ulaya na Mashariki ya kati kupitia bahari nyeusi na bahari ya Mediterranean.

Jiografia ya taifa hili la Kiislamu ilikuwa ndiyo chanzo kikubwa cha The Cuban missile crisis ya mwaka 1962 ambayo ingepelekea kutokea kwa vita ya tatu ya dunia baina ya Marekani na Umoja wa Kisovieti.

Unajua kwanini ilibidi taifa hili liingizwe Umoja wa NATO miaka ya 1950's na wanaogopa lisitoke kwenye Umoja huo mpaka leo ???

Hili taifa linapata nguvu na ushawishi kila siku kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na Ulimwengu usio wa Kiislamu tofauti kabisa na mataifa mengine ya Kiislamu ambayo ushawishi wake uko kwenye dini, mafuta na pesa.

Ukitazama vizuri mwelekeo wa siasa za dunia, hili taifa ndilo litakuja kuwa adui mkubwa sana wa Israel huko mbeleni.
Uturuki ambayo iko NATO ambako Marekani ndio kinara wa huo umoja iwe na vita na Israel maajabu hayo una maono ya ajabu sana.
 
Taifa la Israel linapambana na Iran kwa nguvu nyingi sana lakini linasahau uhalisia mmoja mchungu kwamba mshindani wake mkubwa kwa Iran miaka mingi ijayo siyo Iran.

Bali taifa la Kiislamu ambalo liko barani Ulaya na Barani Asia, taifa pekee la kiislamu ambalo ambalo wasomi wake wana ushawishi mkubwa sana duniani na taifa pekee la kiislamu ambalo liko ndani ya Umoja wa Kujihami wa NATO.

Hili taifa lina jiografia nzuri mno inayounganisha mataifa ya Ulaya Magharibi na Ulaya Mashariki kupitia bahari nyeusi na Mediterranean, pia kuunganisha bara la Ulaya na Mashariki ya kati kupitia bahari nyeusi na bahari ya Mediterranean.

Jiografia ya taifa hili la Kiislamu ilikuwa ndiyo chanzo kikubwa cha The Cuban missile crisis ya mwaka 1962 ambayo ingepelekea kutokea kwa vita ya tatu ya dunia baina ya Marekani na Umoja wa Kisovieti.

Unajua kwanini ilibidi taifa hili liingizwe Umoja wa NATO miaka ya 1950's na wanaogopa lisitoke kwenye Umoja huo mpaka leo ???

Hili taifa linapata nguvu na ushawishi kila siku kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na Ulimwengu usio wa Kiislamu tofauti kabisa na mataifa mengine ya Kiislamu ambayo ushawishi wake uko kwenye dini, mafuta na pesa.

Ukitazama vizuri mwelekeo wa siasa za dunia, hili taifa ndilo litakuja kuwa adui mkubwa sana wa Israel huko mbeleni.
Siku Turkey ikiwa adui mkubwa wa Israel ndiyo utakuwa mwanzo wa machafuko ndani ya ardhi yao.

Na kwa bahati nzuri Turkey imeshaharibiwa huwezi kuliita taifa la Kiislamu tena, yani uishivyo Tanzania Rais anazindua msikiti na kuchagia misikiti ndivyo Tyip anachangia makanisa na kiyazindua!

Waislamu hawana religious tolerance ila Turkey wanayo, nakueleza patachafuka nadhani ndio itakuwa WW3. Italy, Germany, Brazil, India, France wanatamani hii kitu itokee sana tena ihusishe dini
 
Hili ndio huwa tatizo lako kubwa kujifanya unajua sana mambo kuliko wana jamvi wengine!
Wakati uhalisia ni hujui kitu.

Kubali ubishani uabishwe hapa
Unachosema inaweza ikawa ni kweli kwamba sijui lakini najifanya mjuaji. Lakini pia ingekuwa vibaya sana kama hili suala naliwaza mimi peke yangu, si ndiyo ???

Sasa hata wasomi wa vyuo vikubwa kama Cambridge wanafikiria hivihivi, huenda kweli na wao wakawa ni wajinga kuliko wewe Mtanganyika mwenye akili nyingi sana.

Mara nyingine unaweza ukahisi mtu ni mpumbavu, kumbe wewe ndiyo uko uninformed. Hii tabia ya watanzania kupenda maswali rahisi na kuamini sana vyombo vya habari kuliko kufuatilia vitu kwa undani nadhani siyo nzuri sanaa.View attachment 978-1-4438-4870-1-sample.pdf
 
Siku Turkey ikiwa adui mkubwa wa Israel ndiyo utakuwa mwanzo wa machafuko ndani ya ardhi yao.

Na kwa bahati nzuri Turkey imeshaharibiwa huwezi kuliita taifa la Kiislamu tena, yani uishivyo Tanzania Rais anazindua msikiti na kuchagia misikiti ndivyo Tyip anachangia makanisa na kiyazindua!

Waislamu hawana religious tolerance ila Turkey wanayo, nakueleza patachafuka nadhani ndio itakuwa WW3. Italy, Germany, Brazil, India, France wanatamani hii kitu itokee sana tena ihusishe dini
Hahahahah, povu lote hili kwangu. Kwanini unashambulie bila kujadili hoja ??? Inaonekana unanifuatilia muda mrefu sana kujua kwamba mimi najifanya mjuaji humu ndani na huwa unateseka sana, Pole.

Sasa turudi kwenye mada yetu, wewe wa Tanganyika unasema hili haliwezekani na ukatoa tafiti zako kwanini haliwezekani: Lakini sasa wasomi ambao ni World Class Intellectual from London School of Economics wanasema ndilo jambo linaloendelea sasa.

Inaelekea nao ni wajuaji pia kama wale wenzao wa Cambridge ambao hawajui kitu kupitia wewe. Hebu soma ujinga wao hapo chini. Ila nikupe hongera sana kwa kuwa moja watanganyika mwenye kuijua sana siasa ya Mashariki ya Kati.View attachment LSE-IDEAS-Turkey-Middle-Power.pdf
 
Siku Turkey ikiwa adui mkubwa wa Israel ndiyo utakuwa mwanzo wa machafuko ndani ya ardhi yao.

Na kwa bahati nzuri Turkey imeshaharibiwa huwezi kuliita taifa la Kiislamu tena, yani uishivyo Tanzania Rais anazindua msikiti na kuchagia misikiti ndivyo Tyip anachangia makanisa na kiyazindua!

Waislamu hawana religious tolerance ila Turkey wanayo, nakueleza patachafuka nadhani ndio itakuwa WW3. Italy, Germany, Brazil, India, France wanatamani hii kitu itokee sana tena ihusishe dini
Yaan wewe huwa unajifanya mjuaji lakini wewe ni mtupu kichwani, na huwa unandika bila ya kijifiria ,usema waislam hawana religious tolerance wakati huo unasema Turkey hanayo kwa hiyo Turkey siku hizi wame kuwa wakiristo au wapagani?
 
Siku Turkey ikiwa adui mkubwa wa Israel ndiyo utakuwa mwanzo wa machafuko ndani ya ardhi yao.

Na kwa bahati nzuri Turkey imeshaharibiwa huwezi kuliita taifa la Kiislamu tena, yani uishivyo Tanzania Rais anazindua msikiti na kuchagia misikiti ndivyo Tyip anachangia makanisa na kiyazindua!

Waislamu hawana religious tolerance ila Turkey wanayo, nakueleza patachafuka nadhani ndio itakuwa WW3. Italy, Germany, Brazil, India, France wanatamani hii kitu itokee sana tena ihusishe dini
Tangu kuanguka kwa Ottoman hakuna wakati ambao uturuki ili fuata itikadi za kiislam kama sasa.

Baada ya kuanguka kwa Ottomani Mustafa Atatuku alianzisha Uturuki ya kisasa ambayo inafuata itikadi za kimagharibi ,asilimia 95 ya waturuki ni waislam lakini wanawake walikuwa hawaruhusiwi kuvaa hijabu kwenye majengo ya uma hata porisi na wanajeshi wa kike walikuwa hawaruhusiwi kuvaa hijabu.

Lakini tangu kuingia kwa Edorgan madarakani hizo sheria hazipo tena.
Mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa bbc unaonesha waisilam wenye misimamo mikali nchini uturuki wameo gezeka na utamaduni wa kimagharibi ukitupwa mkono.

Hata siasa za sasa za Uturuki zimebadirika mno haifuati tena siasa za kimagharibi.

Alafu kingine wewe tatizo ni kila hoja kuingiza udini, watu tunaongelea suala la uturuki kutafuta ushawishi kwenye eneo la mashariki ya kati wewe unaleta masuala ya kuzindua makanisa.

Israel, Iran, Saudia, na Uturuki kila taifa lina shindana kutafuta ushawishi wa kisiasa na kikeshi na sio kidini kama unavyo fikiria wewe lakini kasi zinatofautiana na inavyo onesha kasi ya Uturuki ni kubwa ukilinganisha Iran au Saudia.

Israel Inataka kuwa kojogoo hapo mashariki ya kati na ndio maana inafanya kila njia kwa kushirikiana na marekani kuibana Iran kwa japo Iran imeendelea kujitutumua.

Na ndio maana malcomu lumumba anashangaa kwanini Israel imewekeza kupambana na Iran ambayo inaoneka kasi yake ni ndogo lakini hawekezi kupambana na mshindani wake ambaye ana kuja kwa kasi mno ambaye ni Uturuki.
 
Hahahahah, povu lote hili kwangu. Kwanini unashambulie bila kujadili hoja ???
Nilichokiandika hakikuwa hoja sio?

Inaonekana unanifuatilia muda mrefu sana kujua kwamba mimi najifanya mjuaji humu ndani na huwa unateseka sana, Pole.
😝😝 huwa naona unayoyaandika na akipatikana mtu wa kukupa challenge huwa unakimbia.

Sasa turudi kwenye mada yetu, wewe wa Tanganyika unasema hili haliwezekani na ukatoa tafiti zako kwanini haliwezekani: Lakini sasa wasomi ambao ni World Class Intellectual from London School of Economics wanasema ndilo jambo linaloendelea sasa.
What a utter rubbish! LSEPS ndio wasomi wa daraja la dunia?
Kina Jo Beal, Rajesh Venugopal pamoja Dr Satoshi Kanazawa na tafiti zao za kipumbavu kabisa ndio unawaita wasomi?😝😝😝😝

Au nikupe research zao walizozifanya uone ushubwada wao

Inaelekea nao ni wajuaji pia kama wale wenzao wa Cambridge ambao hawajui kitu kupitia wewe.
Yani ni wajuaji alafu hawajui kitu.
Dr Kanazawa alifanya tafiti yake na kuja na conclusion eti wanaume ambao si waaminifu kwa wenza wao, wngi wao wana low iq. Real?

Hebu soma ujinga wao hapo chini. Ila nikupe hongera sana kwa kuwa moja watanganyika mwenye kuijua sana siasa ya Mashariki ya Kati.View attachment 1269851
Ni wajinga tu hao.
Ulieleza awali habari za uwepo wa Turkey NATO.

Unajua kwanini ilibidi taifa hili liingizwe Umoja wa NATO miaka ya 1950's na wanaogopa lisitoke kwenye Umoja huo mpaka leo ???

Hili taifa linapata nguvu na ushawishi kila siku kwenye Ulimwengu wa Kiislamu na Ulimwengu usio wa Kiislamu tofauti kabisa na mataifa mengine ya Kiislamu ambayo ushawishi wake uko kwenye dini, mafuta na pesa.

Ukitazama vizuri mwelekeo wa siasa za dunia, hili taifa ndilo litakuja kuwa adui mkubwa sana wa Israel huko mbeleni.

Nilikusoma kwa makini sana maana nilishatambua msimamo wako!
Nakupa darasa huru, Tayyip Edorgan na chama chake wanataka kutengeneza jeshi la kiislamu ("army of islam") to wage against Israel!
Wanasahau kwamba yanayofanywa na Israel ndio wanayofanya wao.

Israel imeikalia Gaza na wapalestina wakileta ujinga ujinga wanawapiga kwa silaha ambazo zina white phosphorus kitu ambacho kilishakatazwa toka kuisha kwa WW2, Turkey ameikalia Kurds kwa kisingizio cha kuwapiga ISIS huko anatumia white phosphorus anawachapa kwelikweli! Waswahili wanasema Nyani haoni kundule.

Mimi naishi America, Edorgan wanamuita arrogant boy tu hana lolote, Turkey kuna nukes za America za kutosha ambazo ziko toka cold war, hawezi thubutu kufanya ujinga wowote dhidi ya Israel kwa sababu itakuwa ni vita ya nuclear tu.
Na kwa taarifa tu vita yoyote inayopiganwa mashariki ya kati inanufaisha mataifa matatu tu
ISRAEL! ISRAEL! ISRAEL!
 
Yaan wewe huwa unajifanya mjuaji lakini wewe ni mtupu kichwani, na huwa unandika bila ya kijifiria ,usema waislam hawana religious tolerance wakati huo unasema Turkey hanayo kwa hiyo Turkey siku hizi wame kuwa wakiristo au wapagani?
Mdogo wangu, you've to grow up
 
Tangu kuanguka kwa Ottoman hakuna wakati ambao uturuki ili fuata itikadi za kiislam kama sasa.
Baada ya kuanguka kwa Ottomani Mustafa Atatuku alianzisha Uturuki ya kisasa ambayo inafuata itikadi za kimagharibi ,asilimia 95 ya waturuki ni waislam lakini wanawake walikuwa hawaruhusiwi kuvaa hijabu kwenye majengo ya uma hata porisi na wanajeshi wa kike walikuwa hawaruhusiwi kuvaa hijabu.
Lakini tangu kuingia kwa Edorgan madarakani hizo sheria hazipo tena.
Mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa bbc unaonesha waisilam wenye misimamo mikali nchini uturuki wameo gezeka na utamaduni wa kimagharibi ukitupwa mkono.
Hata siasa za sasa za Uturuki zimebadirika mno haifuati tena siasa za kimagharibi.
Alafu kingine wewe tatizo ni kila hoja kuingiza udini ,watu tunaongelea suala la uturuki kutafuta ushawishi kwenye eneo la mashariki ya kati wewe unaleta masuala ya kuzindua makanisa.
Israel,Iran,Saudia,na Uturuki kila taifa lina shindana kutafuta ushawishi wa kisiasa na kikeshi na sio kidini kama unavyo fikiria wewe lakini kasi zinatofautiana na inavyo onesha kasi ya Uturuki ni kubwa ukilinganisha Iran au Saudia,
Israel Inataka kuwa kojogoo hapo mashariki ya kati na ndio maana inafanya kila njia kwa kushirikiana na marekani kuibana Iran kwa japo Iran imeendelea kujitutumua.
Na ndio maana malcomu rumumba anashangaa kwanini Israel imewekeza kupambana na Iran ambayo inaoneka kasi yake ni ndogo lakini hawekezi kupambana na mshindani wake ambaye ana kuja kwa kasi mno ambaye ni uturuki.
Wewe ndiwe wakuniita mimi na akili ndogo kwa ujinga huu uliouandika?😝😝😝😝🐖

Iran ni mashia na wanaamini mwokozi wao Mahdi atakuja kuwaokoa kutakapo kuwa na vita mashariki ya kati!
Iran bado haijakaliwa na westerners yeyote kwa 100%.

Turkey kaishakaliwa hana athari yoyote kwa Israel, rejea habari za Kargil war kati ya India na Pakistan utafahamu nguvu ya Israel mdogo wangu
 
Wewe ndio huwa unajifanyajuaji wakati ni mweupe kichwani.
Kid jifunze kuandika vizuri kwanza ndivyo uniite hivyo!
No any Muslim country can beat Israel.

Don't swell up your head sycophantic again
 
Wewe ndiwe wakuniita mimi na akili ndogo kwa ujinga huu uliouandika?😝😝😝😝🐖

Iran ni mashia na wanaamini mwokozi wao Mahdi atakuja kuwaokoa kutakapo kuwa na vita mashariki ya kati!
Iran bado haijakaliwa na westerners yeyote kwa 100%.

Turkey kaishakaliwa hana athari yoyote kwa Israel, rejea habari za Kargil war kati ya India na Pakistan utafahamu nguvu ya Israel mdogo wangu
Jibu hoja acha kupaniki
 
Akikutumia namba tu unikumbuke na mimi aise nataka nipite kama kwamba
Kwahiyo wewe nawe unanifuatilia mimi kwasababu mimi ni Raisi wako si ndiyo ??? A President of your heart.

Nimefurahi sana kujua kwamba kumbe kuna mwanamke ananifuatilia sana hapa JF. Hebu njoo PM basi au kama vipi weka namba yako ya simu nikutumie nauli ya mwendokasi uje fasta hapa nilipo.
 
Malkom Lumumba Kaongea Ukweli Mtupu Lakini
Tangu kuanguka kwa Ottoman hakuna wakati ambao uturuki ili fuata itikadi za kiislam kama sasa.

Baada ya kuanguka kwa Ottomani Mustafa Atatuku alianzisha Uturuki ya kisasa ambayo inafuata itikadi za kimagharibi asilimia 95 ya waturuki ni waislam lakini wanawake walikuwa hawaruhusiwi kuvaa hijabu kwenye majengo ya uma hata porisi na wanajeshi wa kike walikuwa hawaruhusiwi kuvaa hijabu.

Lakini tangu kuingia kwa Edorgan madarakani hizo sheria hazipo tena. Mwaka jana kwa mujibu wa utafiti wa BBC unaonesha waisilam wenye misimamo mikali nchini uturuki wameo gezeka na utamaduni wa kimagharibi ukitupwa mkono.

Hata siasa za sasa za Uturuki zimebadirika mno haifuati tena siasa za kimagharibi.

Alafu kingine wewe tatizo ni kila hoja kuingiza udini, watu tunaongelea suala la uturuki kutafuta ushawishi kwenye eneo la mashariki ya kati wewe unaleta masuala ya kuzindua makanisa.

Israel, Iran,Saudia na Uturuki kila taifa lina shindana kutafuta ushawishi wa kisiasa na kikeshi na sio kidini kama unavyo fikiria wewe lakini kasi zinatofautiana na inavyo onesha kasi ya Uturuki ni kubwa ukilinganisha Iran au Saudia,
Israel Inataka kuwa kojogoo hapo mashariki ya kati na ndio maana inafanya kila njia kwa kushirikiana na marekani kuibana Iran kwa japo Iran imeendelea kujitutumua.

Na ndio maana malcomu rumumba anashangaa kwanini Israel imewekeza kupambana na Iran ambayo inaoneka kasi yake ni ndogo lakini hawekezi kupambana na mshindani wake ambaye ana kuja kwa kasi mno ambaye ni uturuki.

Lakini ni kwamba wanapambana zaidi na IRAN kuliko Turkey sababu IRAN ni ngumu sana sana sana kumzuia sababu hana Uungano Nao Kwanjia Yoyote Ile Ukilinganisha Na TURKEY Maana TURKEY Wanaweza Kumbana Kupitia NATO Kama Wanavyombana Kupitia EU Ambapo Jama Anataka Kujiunga Ila Wanamtilia Uzito

Ila naamini kama jamaa watambana zaidi maana kwa sasa kashaanza kujionesha dhahiri shahir yakwamba Yupo AGAINST sa sera za wanaojiona ni GIANT kina US na EU

Ila kwa ss IRAN ndio hatari zaidi kuliko TURKEY maana yeye kaonesha upinzani wa wazi ambao unaonesha mafanikio kuliko Turkey

IRAN
- Kafelisha njama za kuondoka madarakani Al Assad
- Alifelisha (Kafelisha) njama za wamagharibi pale LEBANON kupitia Hizbullah yaan Hizbu wanawanyima sana usingizi Wamagharibi US Sababu Wanachelewesha sana mipango yao
- Anakwamisha njama za US Wamagharibi pale IRAQ maana utawala uliopo sasa hivi pale Iraq ni pro-Iran na anapambana kuwaimarisha wale wanamgambo Alhashdu Shaabi Ambao juzikati hapa ISRAEL walikua wanawashambuli Maana wanajua kama watawachekea Sana Baadae wataota mizizi nakua wagumu kama HIZBULLAH
- IRAN Wamemtoa kibaraka wa wa magharibi YEMEN kwa Kusapoti maandamano Ss hv Mpaka YEMEN Haikaliki Na Kuna wale wanamgambo wa ALHOUTH ambao wanapigwa jeki na IRAN ambao wanaonekana kuwa tishio maana umeona SAUDIA wanavyo wapelekesha miaka mingapi sasa hivi
- Sehemu nyingi Mashariki ya Kati IRAN Wanapambana Kueka uongozi unaounga mkono TEHRAN
 
FACTS
Nilichokiandika hakikuwa hoja sio?


[emoji13][emoji13] huwa naona unayoyaandika na akipatikana mtu wa kukupa challenge huwa unakimbia.


What a utter rubbish! LSEPS ndio wasomi wa daraja la dunia?
Kina Jo Beal, Rajesh Venugopal pamoja Dr Satoshi Kanazawa na tafiti zao za kipumbavu kabisa ndio unawaita wasomi?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]

Au nikupe research zao walizozifanya uone ushubwada wao


Yani ni wajuaji alafu hawajui kitu.
Dr Kanazawa alifanya tafiti yake na kuja na conclusion eti wanaume ambao si waaminifu kwa wenza wao, wngi wao wana low iq. Real?


Ni wajinga tu hao.
Ulieleza awali habari za uwepo wa Turkey NATO.



Nilikusoma kwa makini sana maana nilishatambua msimamo wako!
Nakupa darasa huru, Tayyip Edorgan na chama chake wanataka kutengeneza jeshi la kiislamu ("army of islam") to wage against Israel!
Wanasahau kwamba yanayofanywa na Israel ndio wanayofanya wao.

Israel imeikalia Gaza na wapalestina wakileta ujinga ujinga wanawapiga kwa silaha ambazo zina white phosphorus kitu ambacho kilishakatazwa toka kuisha kwa WW2, Turkey ameikalia Kurds kwa kisingizio cha kuwapiga ISIS huko anatumia white phosphorus anawachapa kwelikweli! Waswahili wanasema Nyani haoni kundule.

Mimi naishi America, Edorgan wanamuita arrogant boy tu hana lolote, Turkey kuna nukes za America za kutosha ambazo ziko toka cold war, hawezi thubutu kufanya ujinga wowote dhidi ya Israel kwa sababu itakuwa ni vita ya nuclear tu.
Na kwa taarifa tu vita yoyote inayopiganwa mashariki ya kati inanufaisha mataifa matatu tu
ISRAEL! ISRAEL! ISRAEL!
Na kwa taarifa tu vita yoyote inayopiganwa mashariki ya kati inanufaisha mataifa matatu tu
ISRAEL! ISRAEL! ISRAEL!
 
Back
Top Bottom