dr rwaitama ni ccm 'mfu': maneno yake mwenyewe.Kwani unashangaa nini? Mbona hata Dr.Lwaitama ni CCM memba ijapo anaichana mwanzo mwisho?mbona Mzee Sabodo anadai yeye ni kada wa Tanu na CCM na bado anaichana CCM?
Mbona Filikunjombe anaichana CCM na yy ni mwanachama wao?Tafakari,chukua hatua.