Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
Ila mwishoni alibadilika..., na ndio mana alianzisha kadima, akiwa na wakina tzipi livni...., kadima ilikua na mlengo wa kati na one month tangu aanze kuwatoa jewish settlers kule gaza strip na west bank akapata hiyo stroke,, ila kwny medani ni kamanda kweli kweli japo hanizidi mm moshe dayan
ni kweli mkuu ila mafia wao ni ben guriön