Remember Ariel Sharon? Nearly Six Years In A Coma but "Alive "

Ila mwishoni alibadilika..., na ndio mana alianzisha kadima, akiwa na wakina tzipi livni...., kadima ilikua na mlengo wa kati na one month tangu aanze kuwatoa jewish settlers kule gaza strip na west bank akapata hiyo stroke,, ila kwny medani ni kamanda kweli kweli japo hanizidi mm moshe dayan

ni kweli mkuu ila mafia wao ni ben guriön
 
there some people here are very and very sick!!dont you ever have something in your brain?
dini kitu gani bwana!?
but they should stop now that supporting machine seriously...

The objective of this thread was to get view and response like yours but it seem people have Israel/Palestine phobia syndrome.

Surely they should stop Life supprting machine and let him biologicaly die as he is already dead physically. and as I pointed it earlier,, we Tanzanian ambao viongozi wetu wengi wanapelekwa majuu kutibiwa tuna la kujifunza hapa.......... Even J K Nyerere passed in the same scenario. lakini naoa walimua maamuzi ya busara mapema

Sasa with too much politics same(Airel sharon situation) could have happened or could happen in the future. only because its tax payers money.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
Back
Top Bottom