Religious noise!!

kama huzitaki hizo kelele mbona umeenda kuishi karibu na msikiti? why dont you just shift. mimi hizo kelele ndo zinaniamsha kuja kwa ofisi meeen!

Unawezaje ku-justify kelele eti kwa sababu zinakuamsha asubuhi?! Kama unataka kuamshwa asubuhi nunua saa au simu yenye alarm.lolz
 

hii pia ni kero fonts color unazotumia zinaumiza macho...how pathetic unachokipinga ndicho unachokifanya huoni na wewe unaleta visual polution?
 
kama huzitaki hizo kelele mbona umeenda kuishi karibu na msikiti? why dont you just shift. mimi hizo kelele ndo zinaniamsha kuja kwa ofisi meeen!
Vivi ,hivi unaweza enda mahali gani usikutane na misikiti au kanisa? labda Obay.wanganpi wanaweza afford kuishi huko Obay? wachache sana wenye class kama yako.hivo haiepukiki.
 
Vivi ,hivi unaweza enda mahali gani usikutane na misikiti au kanisa? labda Obay.wanganpi wanaweza afford kuishi huko Obay? wachache sana wenye class kama yako.hivo haiepukiki.

nimekaa sana Uswazi kabla ya kufikia hapa! Nilikua najitahidi sana kuji distance na misikiti.

Hapo kwenye ka red. naona kama umeanza utani vile!
 
nimekaa sana Uswazi kabla ya kufikia hapa! Nilikua najitahidi sana kuji distance na misikiti.

Hapo kwenye ka red. naona kama umeanza utani vile!

Kumbe na wewe hupendi kelele?mbona umesema ndio unaamshwa na hizo adhana?hapo kwenye kared nipo serious pia,nimeona kwenye ile thread nyingine ya ATM na laki sita,halafu ongeza na mshahara wako mbona upo juu.kuna mtu kupata mhogo wa kula mchana ni kazi,akipata laki moja kwake sherehe.
 
Yani vvan umekimbia azana kwa kutumia ATM ya jamaa yako? kweli mapenzi yana shughuli!!
 
Yani vvan umekimbia azana kwa kutumia ATM ya jamaa yako? kweli mapenzi yana shughuli!!

Washkaji lets get on the ongoing Discussion!! ya ATM huku yanatoka wapi?
 

Life is always dictated by what you earn!!! the higher you earn the more the majukumu.
 
kwanza huelewi maana ya adhana, so sound proof haihitajiki ukijua maana ya adhana, pili hiyo adhana inachukua masaa mangapi au muda gani hata nusu saa haimalizi, we huo usingizi gani, kelele za mwanamke kitandani hazikuboi, suala la imani za watu unalishikia bango,,nonsense
 
Hivi hawa Wasilamu mpaka waamshwe? Yaani allah wao hawezi kuwaamsha usingizi mpaka wapige kelele.

Au ndio kulazimisha huko, dini zingine lol

That's a bit rich coming from a poster sporting the name of a convicted NAZI and a mass murderer. I wonder if your real life namesake would have spared you, had you been in Lyon between 1942 and 1945.


kama huzitaki hizo kelele mbona umeenda kuishi karibu na msikiti? why dont you just shift. mimi hizo kelele ndo zinaniamsha kuja kwa ofisi meeen!

Unawezaje ku-justify kelele eti kwa sababu zinakuamsha asubuhi?! Kama unataka kuamshwa asubuhi nunua saa au simu yenye alarm.lolz

Spot the irony above?
 

kumbe ssamtaimu unakuwa na akili mzuri namna hii maana mara nyingi nikisoma komenti zako huwa naishia kucheka maana unatoaga ushauri kama mganga wa kienyeji yaani hapa wala sijaamini m aoni yamesimama
 
kumbe ssamtaimu unakuwa na akili mzuri namna hii maana mara nyingi nikisoma komenti zako huwa naishia kucheka maana unatoaga ushauri kama mganga wa kienyeji yaani hapa wala sijaamini m aoni yamesimama

mpwa katandikwa dongo la kifundi hapa, anyways mimi ndivyo nilivyo
 


Mi mwenyewe nataka wakuu wa mikoa na wilaya waondolewe tubaki na wakurugenzi husika tu!!!
 

Jahom Nakushauri kama Kelele za Adhana Au Kelele za Kengele ya Kanisa zinakusumbuwa Wakati wa asubuhi nakushauri nenda kaishi Porini mbali na Misikiti na Makanisa itakuwa umefanya jambo la maana sana au nenda katika Misikiti kang'owe spika na nenda kanisani kang'owe kengele itakuwa umefanya jambo la maana na matatizo yako ya kuamshwa Asubuhi na Makelele ya Adhana na Kengele za Kanisa yatakwisha huo ndio ushauri wangu.
 
Namna ya kuanza kuifanyia kazi hii kero ni ngumu. Kuna extremists kibao hapa bongo kuliko hata zilikoanzia dini zenyewe ambao kwa vyovyote vile watajaribu kupindisha mambo kuvutia upande wao. Msikiti wa Ilala Boma ndiyo unafunga kazi, kila linalofanyika humo ikiwa ni pamoja na kufungisha ndoa linaongelewa kwenye maspika ya nguvu. si adhana tu bali pia swala zote na matangazo yote vinasikika kila siku siku 7 kwa wiki, wanaokaa maeneo hayo watake wasitake wameshajua maneno kama udhu, kutawadha, kuna maana gani. Wakristo nao na harusi zao, misendoff na kitchen party basi ule wimbo wa nibebe waislamu wote wanaujua watake wasitake. Kwa kweli ni karaha tupu. Sasa hapa zinahitajika busara vinginevyo hali ni mbaya sana.
 

Kwani unakaa wapi? Mitaani ya kwetu Mbweni JKT hakuna mambo hayo. Viwanja vilipimwa kuna sehemu za makanisa na misikiti na wakati wa kuchagua viwanja Bwana Ardhi alikuwa akituelekeza kama kelele za ibada na starehe zinakupa taabu unashauriwa kuteua kiwanja kilicho mbali na sehemu hizo.

Tusilaumu wanaofanya ibada zao, wana haki ya kuabudu kwa mujibu wa katiba. Wa kulaumiwa ni Wizara ya ardhi kwa kuachia ujenzi holela, na kutopima viwanja vya kutosha ili watu wajijengee wanakopenda.
 
Jamani samahanini, napataga shida sana nikiwa Dodoma mitaa fulani kuna spika kali asubuhi! Hata kama una usingizi vipi utaamka tu. Ni shiidaaaa
 
Jamani samahanini, napataga shida sana nikiwa Dodoma mitaa fulani kuna spika kali asubuhi! Hata kama una usingizi vipi utaamka tu. Ni shiidaaaa

Itabidi tu nawe usali nao ili usiwe bored
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…