Relationship Guru

Relationship Guru

kula like kubwa! naunga hoja ya haya maswal,na swal la nyongeza...kwanini wanaume ni wagumu kusamehe kuliko wanawake?mfano mwanamke anaweza mfumania mumewe akamsamehe na maisha yakasonga mbele lakini mwanaume akimfumania mkewe si rahisi.

mbona huyu mtu ajibu
 
Baba watoto inapaswa pia ukumbuke pia kwamba unaweza ukawa umekula chumvi nyingi lakini pia ukawa huna uzoefu wa mapenzi.
Unless other wise prove your self that you are a guru in love by responding to the posed questions.

kweli kabisa am waiting for him here here
 
kula like kubwa! naunga hoja ya haya maswal,na swal la nyongeza...kwanini wanaume ni wagumu kusamehe kuliko wanawake?mfano mwanamke anaweza mfumania mumewe akamsamehe na maisha yakasonga mbele lakini mwanaume akimfumania mkewe si rahisi.
Kwakuwa mwalimu kakimbia, Naomba ni jibu swali lako la nyongeza na akitokea na kujisikia ana jibu mbadala au la nyongeza
ataongezea.
Ni hivi:
Mungu kawaumba Adam na Hawa(Eva) katika hali ya kuwa 'WATU' na kuweka utofauti katika mambo mengi ambayo tukiamua kuyajadili tutakesha na hatutayamaliza.
Sasa hizo tofauti zao mojawapo ni hiyo uliyoizungumzia,
Ilikuwa hivyo tangia zama, Ipo hivyo sasa na itabaki kuwa hivyo milele (Kamuumba mwanaume hivyo)
Hata hivyo mara chache sana inaweza ikatokea mmoja asiwe na tabia hiyo. lakini ni nadra mno.
La msingi tukubali na tuzoee tu iko hivyo na ni swala la limezoeleka.
*
 
Baba Watoto Njoo ujibu maswali ya wadau huku

Zeddicus na Wadau kwanza niombe radhi kwa kukosekana hewani na kutojibu maswali, nilikua natekeleza ilani ya chama twawala. sasa nipo mjengoni na nitaleta uzi wa kisa kilichonikumba na hawa jamaa wa Precision
 
  • hivi kwa nini mwanmke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
  • unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
  • kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
  • je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
  • unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?
Miss Chaga, natumai u mzima wa afya, niwie radhi kwa kuchelewa kuleta majibu ya maswali yako tata sana. naomba nianze
Swali: hivi kwa nini mwanamke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
Jibu: Hapa hili suala huenda kwa pande mbili na huwa linachangiwa sana na makuzi na mazingira ya mtu alipokulia kwa mfano: Mvulana wakati anakua hakua amepata malezi yanaonyesha maisha ya upendo (amekua kwenye familia ya mfumo dume) na akiwa mtaani na wenzake ni stori hizo kuwa mwanamke akikupenda anakua amekupenda moja kwa moja sasa ili kumteka jifanye kama hujali. Sasa malezi na makuzi haya lazima yataleta mkanganyiko kidogo linapokuja suala la kuelezea hisia za mapenzi kwa mwenzake, kitu cha pili ni utashi (ego) ambayo ipo kwa watu wote pia.

Swali: unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
Hili swali linategemea zaidi uwezo na maumbile ya mwili pamoja na via vya uzazi. kuna mitindo mbalimbali ya kujamiiana na inapendeza kama utashauriana na mwenzio nakujaribu mtindo ule utakaowafaa na kuwanya mjisikie huru bila mmoja kuumia.

Swali:kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
Mahusiano ni njia mbili, mmoja asimzidi mwenzake kwa kutoa, hasa kihisia. Linapokuja suala la uaminifu ambalo ni tata sana inabaki kwa mtu husika kutolea maamuzi ambayo kwake yako sawa, maamuzi haya yanategemea zaidi upande uliokosa uko tayari kwa kiasi gani kubadilika na kujitoa zaidi kwa upande uliokosa. Lakini ni vyema kuzungumza na mwenzako ili kujua tofauti na kuona kama kuna mazoea yamejijenga au mitoko imepungua, zaidi kama wote mko tayari kujaribu kuupigania uhusiano wenu, na kama hamuwezi ni bora kila mtu akashika hamsini zake.

Swali: je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
Ndio, formula ipo na ni rahisi sana. Kuzungumza hisia zenu na kutojaribu kubadilika, kama mlikua mnatoka basi endeleeni kutoka au kama mlikua mnanunuliana maua na hakuna sababu ya kiuchumi inayozuia endelea kufanya hivyo. Na zaidi kumbuka mapenzi ni njia mbili sio moja, penda, amini na kujiaminisha; omba msamaha kwa dhati unapokosea. Zungumza tofauti zenu bila kuingiza watu wa pembeni kwanza.

Swali:unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?

Tafuta PE (aaah aaah, natania), Sumaku hupungua kwa kiasi kikubwa na ule ukaribu wa mwanzo na kuaminiana kunapungua au kupotea, kama alikua anakuacha kushika simu sasa hakutakua na hiyo kitu. Lakini pia sumaku huweza kupotea kwa mambo mengine sio lazima kudanganya na kuchochoroka, ni nzuri kuongea ili mambo yawe sawa. cha msingi ni kujitahidi kuwa na uhakika kwanza kwa namna nyingi tuu.

Miss chaga, natumani nimejitahidi kujibu maswali yako kwa maelezo ya haraka, sasa tunaweza anza kudadavua sehemu zenye utata.
 
Mario Gomez, I here you brother. I am in town and will be in touch with JF
 
Munkari hii ni swali la mimi kujibu? Naweza tumia haki yangu ya msingi ya kukaa kimya?
 
Miss Chaga, natumai u mzima wa afya, niwie radhi kwa kuchelewa kuleta majibu ya maswali yako tata sana. naomba nianze
Swali: hivi kwa nini mwanamke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
Jibu: Hapa hili suala huenda kwa pande mbili na huwa linachangiwa sana na makuzi na mazingira ya mtu alipokulia kwa mfano: Mvulana wakati anakua hakua amepata malezi yanaonyesha maisha ya upendo (amekua kwenye familia ya mfumo dume) na akiwa mtaani na wenzake ni stori hizo kuwa mwanamke akikupenda anakua amekupenda moja kwa moja sasa ili kumteka jifanye kama hujali. Sasa malezi na makuzi haya lazima yataleta mkanganyiko kidogo linapokuja suala la kuelezea hisia za mapenzi kwa mwenzake, kitu cha pili ni utashi (ego) ambayo ipo kwa watu wote pia.

Swali: unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
Hili swali linategemea zaidi uwezo na maumbile ya mwili pamoja na via vya uzazi. kuna mitindo mbalimbali ya kujamiiana na inapendeza kama utashauriana na mwenzio nakujaribu mtindo ule utakaowafaa na kuwanya mjisikie huru bila mmoja kuumia.

Swali:kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
Mahusiano ni njia mbili, mmoja asimzidi mwenzake kwa kutoa, hasa kihisia. Linapokuja suala la uaminifu ambalo ni tata sana inabaki kwa mtu husika kutolea maamuzi ambayo kwake yako sawa, maamuzi haya yanategemea zaidi upande uliokosa uko tayari kwa kiasi gani kubadilika na kujitoa zaidi kwa upande uliokosa. Lakini ni vyema kuzungumza na mwenzako ili kujua tofauti na kuona kama kuna mazoea yamejijenga au mitoko imepungua, zaidi kama wote mko tayari kujaribu kuupigania uhusiano wenu, na kama hamuwezi ni bora kila mtu akashika hamsini zake.

Swali: je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
Ndio, formula ipo na ni rahisi sana. Kuzungumza hisia zenu na kutojaribu kubadilika, kama mlikua mnatoka basi endeleeni kutoka au kama mlikua mnanunuliana maua na hakuna sababu ya kiuchumi inayozuia endelea kufanya hivyo. Na zaidi kumbuka mapenzi ni njia mbili sio moja, penda, amini na kujiaminisha; omba msamaha kwa dhati unapokosea. Zungumza tofauti zenu bila kuingiza watu wa pembeni kwanza.

Swali:unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?

Tafuta PE (aaah aaah, natania), Sumaku hupungua kwa kiasi kikubwa na ule ukaribu wa mwanzo na kuaminiana kunapungua au kupotea, kama alikua anakuacha kushika simu sasa hakutakua na hiyo kitu. Lakini pia sumaku huweza kupotea kwa mambo mengine sio lazima kudanganya na kuchochoroka, ni nzuri kuongea ili mambo yawe sawa. cha msingi ni kujitahidi kuwa na uhakika kwanza kwa namna nyingi tuu.

Miss chaga, natumani nimejitahidi kujibu maswali yako kwa maelezo ya haraka, sasa tunaweza anza kudadavua sehemu zenye utata.
asante mkuu kwa kujali japo hukunijibu kwa wakati kwa kosa hili nipe sh 100,000 ili msamaha wako upite.....

mimi nataka kujua kitu gani kinafanya mtu acheat hasa wanaume unakuta papuchi anapata , mwanamke mzuri lakini bado anachoropoka? au nipe sababu ya wewe kucheat?
 
Nilikuwa napitia pitia tu matatizo watu waliyoelezea maana kwa hayo mambo hata mimi ni Guru!

Guru??? prove kama wewe ni guru kwa jibu maswali hapo juu ya miss chagga ila usijekimbia kama Baba Watoto maaana wewe una story tu ndefuuuu kama za shigongo haya lete majibu........
 
Last edited by a moderator:
Miss Chaga, natumai u mzima wa afya, niwie radhi kwa kuchelewa kuleta majibu ya maswali yako tata sana. naomba nianze
Swali: hivi kwa nini mwanamke ukimwonyesha mwananume unampenda anakutesa?
Jibu: Hapa hili suala huenda kwa pande mbili na huwa linachangiwa sana na makuzi na mazingira ya mtu alipokulia kwa mfano: Mvulana wakati anakua hakua amepata malezi yanaonyesha maisha ya upendo (amekua kwenye familia ya mfumo dume) na akiwa mtaani na wenzake ni stori hizo kuwa mwanamke akikupenda anakua amekupenda moja kwa moja sasa ili kumteka jifanye kama hujali. Sasa malezi na makuzi haya lazima yataleta mkanganyiko kidogo linapokuja suala la kuelezea hisia za mapenzi kwa mwenzake, kitu cha pili ni utashi (ego) ambayo ipo kwa watu wote pia.

Swali: unashuri tuwe tunafanya mapenzi kwa style ipi?
Hili swali linategemea zaidi uwezo na maumbile ya mwili pamoja na via vya uzazi. kuna mitindo mbalimbali ya kujamiiana na inapendeza kama utashauriana na mwenzio nakujaribu mtindo ule utakaowafaa na kuwanya mjisikie huru bila mmoja kuumia.

Swali:kwenye mahusiano kusamehe mwisho mara ngapi?
Mahusiano ni njia mbili, mmoja asimzidi mwenzake kwa kutoa, hasa kihisia. Linapokuja suala la uaminifu ambalo ni tata sana inabaki kwa mtu husika kutolea maamuzi ambayo kwake yako sawa, maamuzi haya yanategemea zaidi upande uliokosa uko tayari kwa kiasi gani kubadilika na kujitoa zaidi kwa upande uliokosa. Lakini ni vyema kuzungumza na mwenzako ili kujua tofauti na kuona kama kuna mazoea yamejijenga au mitoko imepungua, zaidi kama wote mko tayari kujaribu kuupigania uhusiano wenu, na kama hamuwezi ni bora kila mtu akashika hamsini zake.

Swali: je kuna fomula ya kuishi na mpenzi?
Ndio, formula ipo na ni rahisi sana. Kuzungumza hisia zenu na kutojaribu kubadilika, kama mlikua mnatoka basi endeleeni kutoka au kama mlikua mnanunuliana maua na hakuna sababu ya kiuchumi inayozuia endelea kufanya hivyo. Na zaidi kumbuka mapenzi ni njia mbili sio moja, penda, amini na kujiaminisha; omba msamaha kwa dhati unapokosea. Zungumza tofauti zenu bila kuingiza watu wa pembeni kwanza.

Swali:unafanyaje kujua kama mwenzio anacheat?

Tafuta PE (aaah aaah, natania), Sumaku hupungua kwa kiasi kikubwa na ule ukaribu wa mwanzo na kuaminiana kunapungua au kupotea, kama alikua anakuacha kushika simu sasa hakutakua na hiyo kitu. Lakini pia sumaku huweza kupotea kwa mambo mengine sio lazima kudanganya na kuchochoroka, ni nzuri kuongea ili mambo yawe sawa. cha msingi ni kujitahidi kuwa na uhakika kwanza kwa namna nyingi tuu.

Miss chaga, natumani nimejitahidi kujibu maswali yako kwa maelezo ya haraka, sasa tunaweza anza kudadavua sehemu zenye utata.

Ayusema kajibu afu kakimbia ena huyu ni mwongo
 
Back
Top Bottom