Baba Watoto
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 393
- 278
Wana jamvi, nikiwa kama mwanajamvi na aghalabu kidogo nimekula kula chumvi naona ni vyema kile ninachokijua hasa nishirikiane na watu wengine, kwa mantiki hiyo na kuweka maanani kuwa wengi huumizwa na mahusiano, natoa fursa ya kupoke na kujibu maswali mbalimbali yanayohusu mahusiano, ni sehemu ambayo najua nina uwezo nayo kwa kuzingatia muda niliotumia.