KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,246
- 5,006
JAMANI EEEEEH YANGA WANABEBWA KIMATAIFA
- Alisikika GENTAMYCINE
Hahahahaha...inatosha sasaSummary kwa wale ambao picha hazifunguki:
1. Kwenye successful dribble per game Yanga inaongoza
2. Kwenye magoli Yanga imeongoza
3. Kwenye Big chances created anaongoza mchezaji wa Yanga ( Aziz Ki)
4. Kwenye assist anaongoza mchezaji wa Yanga ( Azizi ki)
5. Kwenye key pass per game anaongoza mchezaji wa Yanga ( Pacome)
6. Kwenye wafungaji wa magoli, mchezaji wa Yanga yupo nafasi ya pili kwa tofauti ya goli moja na Sankara
@Kalpana anapitia kipindi kigumu sana haijawahi kutokeaUsisahau ndio timu inayoongoza kutoa dozi ya 5G msimu huu,refer match ya Kolo Kalpana
Wanasema hawawezi zidiwa vyoteWanamsimbazi Wamechanganyikiwa Kuanzia Wachezaji Hadi Mashabiki.
Ndio Wameanza Kuwa Kama Mashetani Maana Muda Wote Wanawaza Uovu Tu.
Timu Inaongoza Yellow Card Hii Ni Dalili Wanataka Kuvunja Miguu Ya Wachezaji Wenzao.
Hahahahahahaha
kye kye kyeeeeMakolo na pira lao la butuabutua
hatari sana mabingwa wapya wa CAFCLYANGA VINARA WA UFUNGAJI WA CAFCL HADI SASA !.
Klabu ya Yanga ndio timu inayoongoza kwa kufunga magoli mengi hadi sasa hatua ya Makundi CAFCL . Ikiwa ni mara yao ya kwanza tangia mashindano haya kubadilishwa jina kuitwa Caf Champions League : Wananchi wanaaandika rekodi ya kuwa iliyofunga magoli mengi hadi sasa .
Yanga wamefunga magoli 09 hadi sasa wakiwa nafasi ya pili Kundi D .
Asec Mimosas wamefunga magoli 07 hadi sasa wakiwa vinara wa Kundi B .
Tp Mazembe wamefunga magoli 6 Sawa na Mameloadi Sundown wote wakiwa Kundi A .
Wananchi kwenye Rekodi bora kwenye Mashindano ya Afrika .
Huku Simba wakiwa ni vinara wa yellow cards 16 kwenye champions league ..,..ama kweli maisha ni kuchaguaView attachment 2916825
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mzee hapa unacheka au unafanya nini?πππππkye kye kyeeee
Striker mkabajiSimba Kuna straika anaitwa Fred yule jamaa jina la kisasa anaitwa defending striker yaani starika mkabaji anachezea sana rafu hamalizi mechi bila kadi
Moto unawakahatari sana mabingwa wapya wa CAFCL
wacha woga...nacheka tuMzee hapa unacheka au unafanya nini?πππππ
Na Kwenye possession ni wa 4 sio haba katika vilabu vyoooote afrika .Summary kwa wale ambao picha hazifunguki:
1. Kwenye successful dribble per game Yanga inaongoza
2. Kwenye magoli Yanga imeongoza
3. Kwenye Big chances created anaongoza mchezaji wa Yanga ( Aziz Ki)
4. Kwenye assist anaongoza mchezaji wa Yanga ( Azizi ki)
5. Kwenye key pass per game anaongoza mchezaji wa Yanga ( Pacome)
6. Kwenye wafungaji wa magoli, mchezaji wa Yanga yupo nafasi ya pili kwa tofauti ya goli moja na Sankara
Hatari sanaNa Kwenye possession ni wa 4 sio haba katika vilabu vyoooote afrika .
Hasira zako zote Kwangu ni kwasababu tu ya kuwa Baba yako wa Kambo na Mama yako Kunipenda sana. .Mnafiki,Mshakunaku,Mzandiki,Muongo,Tapeli,Mdandia Mada,Muokoteleza taarifa za Uongo huko mitandaoni,Mwenye chuki za waziwazi kwa Yanga,Mwenye akili za kimbayuwayu,Kubwa J,mfitinishi,Zumbukuku,Zwazwa & Limbukeni wakuitwa GENTAMYCINE
Tangu kipigo cha Juzi ametoweka kabisa hewani!