Rekodi haziongopi

Rekodi haziongopi

Ekyoma

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
2,177
Reaction score
2,805
Wana jamvi Rekodi haziongopi!

-Aliongoza operesheni ya uuzaji wa Nyumba za serikali - Haikuwa sahihi

- Alivunja sheli mwanza, tukalipa mabilioni

- Alikamata meli ya Samaki , tukalipa mabilioni

- Alinunua kivuko kwa mabilioni, lakini kina mwendo wa kobe

- Alizuia vibali vya Sukari, leo tumerudi kule kule

- Aliondoa pesa za Serikali kwenye mabenki ya biashara na kuyaweka BOT, leo zimeanza kurudishwa polepole kama zamani.

Je katika hili la mchanga, kuna kipya kinachofuata au tutarudi kule kule

Yote kwa yote nasaport nia njema alionayo na Mungu asaidie ili lijibu changamoto za watanzania
 
Hiliblw mchanga linatakiwa kuendewa kwa akili. Maguvu bila akili wazungu watatutoa nishai.

Hatutaki kuendelea kuibiwa. Lakini wazungu siku zote ni maadui wa maendeleo yetu. Hawawezi kusita kutuumiza tukijaribu kuwakabili bila kutumia akili na busara
 
Hawezi kufanya makosa bila kujua awali alikosea wapi, sasa hivi yupo sahihi, hakukurupuka bali alianza kwa kuunda tume, amefanyia kazi ripoti ya tume kwa hiyo kumlaumu haitakuwa sahihi. Ikiwa kutakuwa na makosa ni tume ndio itakuwa imetuingiza mkenge sio rais.

Vv
 
Wana jamvi Rekodi haziongopi!

-Aliongoza operesheni ya uuzaji wa Nyumba za serikali - Haikuwa sahihi

- Alivunja sheli mwanza, tukalipa mabilioni

- Alikamata meli ya Samaki , tukalipa mabilioni

- Alinunua kivuko kwa mabilioni, lakini kina mwendo wa kobe

- Alizuia vibali vya Sukari, leo tumerudi kule kule

- Aliondoa pesa za Serikali kwenye mabenki ya biashara na kuyaweka BOT, leo zimeanza kurudishwa polepole kama zamani.

Je katika hili la mchanga, kuna kipya kinachofuata au tutarudi kule kule

Yote kwa yote nasaport nia njema alionayo na Mungu asaidie ili lijibu changamoto za watanzania
Cococheal?, Lizaboni, Wakudadavua, Motochini, Yehodaya, Stroke, Mitale na Midimu & Co. Ltd mkuje kuna mkorofi hapa, mkuje haraka mambo yanaharibika!
 
Wana jamvi Rekodi haziongopi!

-Aliongoza operesheni ya uuzaji wa Nyumba za serikali - Haikuwa sahihi

- Alivunja sheli mwanza, tukalipa mabilioni

- Alikamata meli ya Samaki , tukalipa mabilioni

- Alinunua kivuko kwa mabilioni, lakini kina mwendo wa kobe

- Alizuia vibali vya Sukari, leo tumerudi kule kule

- Aliondoa pesa za Serikali kwenye mabenki ya biashara na kuyaweka BOT, leo zimeanza kurudishwa polepole kama zamani.

Je katika hili la mchanga, kuna kipya kinachofuata au tutarudi kule kule

Yote kwa yote nasaport nia njema alionayo na Mungu asaidie ili lijibu changamoto za watanzania

tatizo una ujinga wa kuona 1D, ingekuwa 3D usingeongea utumbo

hivi una taarifa wana sheria wa serikali huwa wanashindwa hizo kesi kwa kujifanyisha?

uuzwaji wa nyumba yalikuwa maamuzi ya JPM au baraza la mawaziri?

kajipange
 
Hakuna jipya hapo...ujanja ujanja tu, Mabadiliko aliyoyafanya raisi hakuna hata lenye manufaa kwa wananchi, sanasana yana speed up hali ngumu...hili la mchanga, wazungu wakikisanua tutasalitiana hvi hvi..mana najua hata nkikaza hakuna ntachopata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom