Ww sio mzima aisee kesi tunashindwa kwa sababu ushahidi wa kuprove kesi hakuna mikataba tunavunja bila kutumia bongo unategemea ukashinde kesi
Kuhusu nyumba ata yy alikuwa sehem ya ilo baraza la mawazir tena wazir mwenye dhamana kwa nini hakuachia ngazi
Kabisa, na mimi nakuona wewe mjinga!!
maana kila siku tunalalamika tuonyeshwe mikataba! mikataba ni mibovu kila mahali! MAGUFULI kama alishindwa kwa sababu ya mkataba ilikuwa ndio chance ya wewe na mimi kuema tungalie mikataba
kwani lengo la kuangalia mikataba ni nini? tuangalie tu? tukikuta mibovu TUNAIVUNJA, hata kama tutalipa mamilioni
kipi bora una mkataba wa miaka 100, na utakula hasara ya miaka 100, ulipogundua mkataba ukiwa na miaka kumi ukauvunja unalipa fine/hasara n.k LAKINI hasara utakayopata eventually inakupelekea kutunza mali za miaka 50 ijayo!!
Mikataba yote ni mibovu, Magufuli alifanya kwa capacity yake na uwezo wake kwa sababu alikuwa na mabosi wake ambao walipaswa wachukue hatua stahiki!! hawakufanya
waovu na mafisadi wakashinda huko mahakamani.......wewe haukuangalia initiave za Magufuli, umeangalia outcome
kwa akili zako najisi badala ya huyu aliye 'dare' kumpa kuddos, ndio una mdis
usiumie kuwa haujawahi kuwaza kama hivi.......ni kuwa hauko hivyo, unaangalia vitu in 1D, wenzako tunaangalia in 3D na nje ya bo
ndani ya moyo wako ni kuwa una chuki, chuki ndio inakufanya uwaze hayo! hamna lingine
Kama haujaelewa hapa, katambike