nyambe boy
Member
- Apr 3, 2014
- 36
- 11
kaka mkubwa tusaidie likn tuyaone majina vizuriAsalaam ,Uzi huu ni mahususi kwa waombaji wa undergraduate wenye sifa zote tuliochaguliwa na vyuo mbalimbali lakini majina yetu hayakuthibitishwa na TCU kwa sababu database yao inaonesha sisi ni wanafunzi wa vyuo vikuu tayari & tunaendelea na masomo ili hali hatusomi chuo chochote ndio mwaka huu tumeomba nafasi za masomo.
Binasfi niliwahi kuomba chuo kupitia TCU miaka mitatu iliyopita na kuchaguliwa DIT Baeng in civil & building kutokana na matatizo ya kiafya sikuweza kwenda chuo yaan sikufuatilia tena post yangu. Sasabasi tujadiline namna ya kutetea nafasi zetu kwenye vyuo tulivyochaguliwa kwani tayari tumekwisha tumia muda na pesa kuomba nafasi hizi.
Nawakaribisha
Tafuta namba ya admission officer wa chuo cha awali wape detailz zako &waambie wakutumie iyo barua kwa njia ya e mail then print wapelekee TCU ujaze fomu mm nimefanya hv hadi sasa nishaipat barua ya termination kwa njia ya e mail imebak kupeleka tcuyaani kama mimi npo dar nmeomba pale chuoni nilipochaguliwa awali wamenipiga ka mpira wa danadana register anasema niende mwanza yaani cjaelewa hicho chuo yaan nimeenda tcu wakanambiia mpk barua ndio nijaze form yao cjajua ntafanyeje je naweza waripoti tcu ili wanasaidie
Hujaeleweka hata kidogo.yaani kama mimi npo dar nmeomba pale chuoni nilipochaguliwa awali wamenipiga ka mpira wa danadana register anasema niende mwanza yaani cjaelewa hicho chuo yaan nimeenda tcu wakanambiia mpk barua ndio nijaze form yao cjajua ntafanyeje je naweza waripoti tcu ili wanasaidie
Unaweza kuipata au unaweza pata?Je GPA YA 4.9 NAWEZA PATA ardhi university?
aisee cna three mkuu na niwewe uliyepigiwa cm ukajibu vibaya nn ??Hujaeleweka hata kidogo.
Kwa mwandiko wako na jinsi ulivyojieleza naona hata chuo kilichokuchagua kimekosea. Hujui kujieleza kibaya zaidi hueleweki.
Una three ya ngapi?
anzisha tuNapata wazo wahanga tuanzishe whatsapp group
Okay. Ni ule mfumo wenu duh.! Hata siuelewi,GPA ya 4.9 naweza kudahiliwa chuo cha Ardhi university na kupata? au nisiombe?
itakuwa alidisco huyu jamaa aseme tu ukweliMKUU ULIFUATA TARATIBU ZA KUPOSTPONE MWAKA AU ULIACHA KIMYAKIMYA?