Roho ni energy na sikubaliani nawewe hata chembe Kiranga kuwa energy inapimika
Ni kwa mfano nikikuuliza kuwa ni kipi kinafanya gari litembee au mashine yoyote ifanye kazi...kwa hakika hutakuja na jibu moja na hapo ndio maana halisi ya energy inapokuja
Bujibuji wewe ili uwe Bujibuji unatengenezwa na vitu vitatu kwa kiingereza tunaita ME MYSELF n I, kikikosekana kimojawapo hakuna Bujibuji bali kuna roho ya@bujibuji au mwili wa Bujibuji
Ili mwanadamu akamilike anahitaji mwili roho na nafsi (self, body n mind/me myself n I) View attachment 298634tukirudi kwenye swali letu LA awali utaona kuwa roho ndio kiunganishi cha body n spirit View attachment 298635lakini hapohapo ili upate moyo unahitaji vitu viwili soul n spirit...
Labda ni vitu vinavyojichanganya Sana lakini ukirudia kusoma kwa utulivu utaelewa
kwa ufafanuzi zaidi mtu anaweza rejea tafsiri za lugha ya ivyo vitu vitatu, mwili(body) nafsi(soul) roho(spirit), nafsi ni daraja kufanya mawasiliano kati ya mwili na roho, unapoamua kufanya kitu, mawasiliano yanatoka kwenye nafsi, ishara inatumwa kwenye ubongo na mengineyo hadi kitendo kinafanyika, roho ni daraja kati ya nafsi yako na vitu vilivyo nje ya upeo wa mwili kuviona, mfano unapohisi au kuamua kufanya kitu, kuna mawasiliano ya nje yanayokupa ushauri, na pia unauwezo wa kufanya mawasiliano na mtu mwingine kwa kutumia roho, mfano akiwa mbali, au mtu wa karibu akipata tatizo, mara nyingi hii inatokea pale kunapokuwa na mawasiliano ya karibu na roho ya mwingine, mfano mapacha, mawasiliano yanapotoka nje, roho yako inawasiliana na nafsi, nafsi inaamua na kupeleka maamuzi kwenye mwili kupitia ubongo na hapo viungo vingine vya mwili vinaendelea na uwajibikaji
Natamani kuzungumza juu ya haya mawili lakini naona uwanja hapa bado hauna rutuba kujimwayamwaya na mambo ya 'filosofia perenisi' -- hekima ya mambo ya ulele; mambo yenye 'kuishi' zaidi...
Ila nitacheza karata kichaa kidogo...
Yote unayofundishwa na labda wewe kuridhia kuamini ama kukubali katika mazingira fulani kuhusu nishati na maumbo kisayansi ya leo ni mashauri yasiyokamili hasa. Shida ni hasa ukidhania kinachosemwa juu ya nishati ni dhana kamilifu...
Kwenye mashauri ya nafsi, saikia na sonafi kwa mfano; ni muktadha wa kuzungumza 'msalaba' wa mawili; maingiliano ya 'mambo ya mbingu' na 'mambo ya nchi', hii ni lugha katika mashauri ya ilimu ya majia na alkimiya kama ilivyomashuhuri kwenye shule za filosofia za Kihemesi. Sasa, ni kweli ukitaka kumalizana na mashaka ya kujua vitu nusu nusu basi kila upatapo wasaa, jitahidi kufuatilia mafunzo na mawaidha ya watu wenye kujinasibu milengo ya kisikirifu... Matunda ya kisomo kamili ni kuja kuwa mmajia halisi -- sayansi ilichimbukia kwenye majia; sasa yaonekana kuwa ni yenye kujitegemea -- pamoja maswali mengi kubakia kadri inavyozidi kuwa ya 'kivitu' zaidi...
Sayansi itarudi upya kuungana na majia, na mimi kama mtu ninasimama katikati ya mawili: sayansi ya maumbo dhahiri na sayansi ya maumbo yasiyodhahiri ila kung'amuliwa kwa uwezo wa kuzibayanisha 'ishara' za mambo yasiyoonekana na huku yakiwa kutawala yanayoonekana.
Unauliza inakuwaje una 'roho' na wakati huo huo una 'sonafi'(?). Hmmm
Vipi nikikuambia sehemu ya wewe kama 'mtu' (nafsi yako yenye kujiuliza kwa mfano) ndiyo yenye hasa kufikiri na kujinasibu na umimi ; lakini hiyo kwa namna fulani yatiwa 'nguvu' na kile kisicho 'umimi' wako?
Wewe ni Mungu, lakini utaukanusha 'umungu' wako kwa sababu unajinasibu na nafsi yako. Mungu si nafsi, mungu ni Roho...
Wewe unadumu kusadiki katika ulimwengu wa 'wakati' lakini katika roho iliyo ni mungu -- hakuna wakati...
Kumbuka binadamu wote wanajinasibu imani na mungu kwa sababu ya 'hofu' zao juu ya 'jaala' zao ndani ya wakati...
Kwa mujibu wa sonafi, wewe ni 'habari' ndani ya bahari ya habari... Mungu ni bahari; wewe ni tone katika bahari ya mungu lakini kwa namna isiyoelezeka bila wewe hakuna mungu, na bila mungu hakuna wewe... Mungu na nishati hushiriki moja la pamoja, kutohulukishwa wala kutoweza kuharibiwa...
Kwenye lugha ya Yesu na Injili, muktadha huu ndyo huitwa 'neno'... Mungu ni neno la Uzima.
Sasa tunayo mawili, 'Mungu' na 'Habari'. je mawili haya yakutana vipi (?).
Wacha nishiriki mawaidha fulani toka kungine:
+++++
====
In the dualistic model everything exists as a coincidentia oppositorum. Things exist because of the balance between 2 opposing forces. There's no violation of physical laws for something to spring from nothing as long as that something has a parity of an equal and opposite partner. This linear relationship between opposing parties is what creates spatial separation and dimensionality. This occurs when the initial linear separation is itself separated from its opposite akin to the vertical detaching from the horizontal.
The 'dot' or the singularity, which is everything considered together absent the notion of space or time, must be separated in order for the birth of space and time to occur. It all boils down to the manner in which the separation occurs.
The perpendicular separation of horizontal and vertical planes is the most fundamental of splits after the primary separation of direct opposites that produces the planar area. The first split produces linearity. The second split which is perpendicular produces the circular plane. It's the third separation, the Triple, where the vertical splits from the horizontal that reality as we know it exists and it's this relationship that I believe can be represented in the flower of life pattern. The adjacent circles when viewed as perpendicularly related take on a whole new meaning. The hexagon naturally arises when a central circle is designated as a focal point with the expanding layers being added around its perimeter but really the 3 dimensional shapes that appear within the pattern are just a way of relating the different planes to each other. In this sense any circle can be linked with any other to produce an infinite variety of shapes.
My understanding is that motion is just the manifestation of energy in one of its forms. The unfolding of the universe is a process of the horizontal becoming the vertical, the linear becoming the circular, the high energy state of oscillation becoming the more diffuse energy state of rotation. And yet the end state is the beginning state. The alpha is the omega only viewed inversely from a new perspective.
I believe that on the grandest scale you step out time all together and all is laid out like a vast multidimensional tapestry. Our experience is that of choosing a thread and following the course through. Even upon its completion that thread still exists because time as Einstein said is just a stubbornly persistent illusion.
People state that perpetual motion doesn't exist but if that were truly the case then this universe wouldn't be here. Everything is cyclical. Even scientists acknowledged that energy and information cannot be destroyed or created only transformed.
Nathan S Baker
====
We really connect to each other in these typical talks espcially if one and one is part of the same hidden gemstone of being in the other dimensionality...
So--as Kahlil Gibran would have said (As Almustafa in 'The Prophet' and rephrasing), if i am to talk--what should i really talk but that which is already moving within the sacred space of your being?
Sometimes these intriguing things have a catch with our souls--our hidden paths and will to become something--in space and time.
My friend Nathan, has hinted on Energy and Information--referring these two to the contemporary scientific postulations--the indestructibility of both; but then this extrapolates the fact that all physical activities that we observe do shift their form, from time to time/condition to conditions, however, there can be no end of change/transformation to the assumed temporal states of material substances... This is valid, and interestingly--it reverts into the baffling supposition of the non existence-- of either 'beginning' or 'end' for the material world-- of the universe that we tend to observe and 'know'...
So then this calls us to contemplate upon what we deem to be, or refer to it as 'time'; but let us first take a look at the fundamentals of space as the basis of defining forms.
Brother Nathan has reiterated the 3 Dimensional modality of reconstituting matter out of an imaginative 'dimensionless dot'--something which delights my imaginative senses for it reminds me of the works of Kant and P D Ouspensky in the book 'Tertium Organum', the Third Canon of thought(I am too fond of this book)... Trying to resolve the objectivity of sensual sightness out of a dot, flat then a block; again with state of imbibing consciousness of a subject...
We can use the analogies of the 'dot', but at the same time we've got to be aware that it could be inadequate to explain our visible reality properly. Again, it is fabulous to use our imagination and start from any point of our potent mental conception; however, there is one conception that to me seems quite plausible; that i have learned from an alien source, the Entity 'Bashar' as channeled by Darryl Anka; it explains our living cosmos as something like this :
"The totality of Time and Space is like the fabrication of an infinitesimal point of light, out of boundless dark void; so light and agile, to a point that it can move at the infinity speed--thus with that sense of motion and the virtue of it being infinitesimal, it happens to move in all directions and be in all space at the same time... And under certain auspiciousness of it crossing itself all over and over again and in certain geometrical fashions, it yields the occurrence and existence of all and everything--all that has happened, is happening and is to happen."
We can all thus note how fascinating and interesting Bashar's description is. Such is a 'dynamic' definition of all possible attributions of 'particle','motion' and 'position' by transposing all that into 'Probable Geometry'; whereby there is no real particle but something which tends towards the smallest size possible... No motion really, as such an infinitesimal point can be here and there at the same time due to its 'infinity speed' in all directions... Lastly but not the least to take, it dodges 'time' the way we prefer to observe it 😀 ... Only thing which is--is Radiant Point Source.
Now to me Solid Reality or Geometry is analogous to the 'Salt' Jesus used to talk about in many occasions... Jesus was fond of calling his disciples the 'salt of the earth and the light of the world'. We the people who are in search of true knowledge and mystery of life, are the disciples of the World and its hidden Kingdom and treasure. For the master, the awakened one in such grand reality, always glorifies the living abundance of its treasures, keys to its mysteries and practical maneuver of unconceivable immediate possibilities which can even transcend 'time' or 'space'. Being the living incarnate of 'The way, Truth and Life'... The whole world is already the womb which can deliver 'the Sons of God' whenever one or two people is/are ripe; or have risen to a sufficient level of becoming disciple. One who is ready to 'die and be reborn' spiritually. Thus a master can be a guide-- he can be a midwife to help with the process of 'death/rebirth' of the disciple. Passing of the 'old person' in a disciple into 'the new man' of the 'heavens' and its everlasting glory--if s/he continues to live on Earth his/her presence facilitates the process and activity of anchoring the 'Will' of the Higher Order; which is full of Grace, Abundance and Love, and thus probable Goodwill above All (when chosen as a healing path or exaltation as per the willed/accepted sanctifying conditions) 'That which has been', 'IS' and 'will be'-- what we can call 'God'...
Technically, in modern talking we can say, God is the higher form of information laying, programming and execution which tends to operate as separate intricate order of all and everything yet within the single intelligence of both lower and higher, inner and outer, Above and Below, Heavens and Earth. Geometry is then the key to unlock the door; when one's will is one with the will of the Higher or Intricate Reality then it is a portal to comprehend the 'Many Mansions' of the Kingdom of Heaven. Its from such intricateness, Jesus used to say quite frankly, 'The Kingdom of Heaven is at hand, it is within you'
Jesus talked about salt and light to foreshadow the alchemical mysteries--possible transformation and transmutation of things constituting the material and mundane life; but specifically in his case, to try link that with the possible evolution of human culture towards perfection or purity of certain hidden order; the one which is like a shinning gemstone with its glory of our collective seed/blossomed flower-- reality somewhere across the space-time reality. It is because of the underrated (mis)comprehension of Jesus' beautiful analogies to help us figure out the way to grand reality, Blessed One OSHO, couldn't resist to expound some in one of his discourses--to the disciples who would listen; and let it penetrate their heart, mind and soul as a dossier for spiritual rebirth; the talk which reiterated the essence of one of the gospels of Jesus; which came to be compiled in a book, 'Come Follow to You'.
Now the 'universal gravitation' orchestrating order of the universe--how does it add up to singularity, stellar discs and the 'expanding universe'?
In the trying science of today, it is said that it is impossible to determine both position and velocity of a subatomic particle(Heseinberg's principle). So an electron could be nothing but a fictitious object which seems to explain some 'physics in demand' and in some occasions (then it is to say-- partially). Experiments can accommodate something like the existence of it as a particle--yet at the same time, under different settings (conditions) attributing the same thing to a 'wave like' phenomenon. So again, it is to note--all this much is the same with the revolving planets around the stars... You cannot tell for certainty what is the exact position and velocity of the Earth(Planets). Though there is an average to its velocity to periodically exact one year(again there is long and short year), but even the motion of the earth is not constant--for it is revolving the Sun while reverberating to the mysterious 'breath'... and thus I prefer to link such orchestrating power to the 'heartbeat of the Divine'. At least we can say the earth is nearly spherical although it is a compromise--something which is quite intriguing to observe again--apparently reality avoids 'perfect regularities' of shape from time to time. Therefore, evidently, we are pushed to explore its forms in between the flat, cylindrical, and spherical abstractions; thus probably through a 'cone'(Therein conic sections in consideration).
From the above, it can be noted that a cross section of a flat surface/shape is single dimensionality--a straight line. Likewise for cylindrical form is a two dimensionality--a 'square' can fit a bill under auspicious dimensions. A 'triangle' is for the cone. Then again an auspicious condition to yield a 'square' or 'equilateral triangle' is exacted by a 'circle'-- to influences and incite regularities. And here is where the 'Sacred Geometry' begins to yield its significance in the course of 'blueprints' and 'subtle influence' behind all shapes and form; and in relationship to intelligent-able forms of motion or pattern.
I love to the core the 13th chapter--13 significant lines, of the book of the mystical Apostle--Paul's first epistles to the Corinthians... I was born the 13th day of month of January not by mere coincidence, LOL... And chapter 13 of that book talks about LOVE and Knowing things in part, and a 'Hope' to come into 'knowing' in full when One comes to 'meet' himself as a full grown one -- and as the Divine would have come to reflect him in full... What if the Scientists who don't have a thing for Love do miss something in their inherent comprehension of the grand reality? What if the 'Universal Gravitation' and Harmony of all motions is the effect of hidden cause which is 'Love' as the core essence of preservation of 'meaningful order'?
What is it precisely, that Paul talks about-- mentioning the 'mystical knowledge of God' that which is for those who are meant to comprehend it, and are ordained by the spirit of Truth -- inherent in those who seek that truth, to their innermost core of inquiry and pursuit?:
'But we speak the wisdom of God in a mystery, even the hidden wisdom... But as it is written, Eye hath not seen, nor ear heard, neither have entered into the heart of man, the things which God hath prepared for them that love him... But the natural man receiveth not the things of the Spirit of God: for they are foolishness unto him: neither can he know them, because they are spiritually discerned. But he that is spiritual judgeth all things, yet he himself is judged of no man. For who hath known the mind of the Lord, that he may instruct him? but we have the mind of Christ.
How can we decode the significant keys of life and reality out of what Paul says, such to unveil the physics behind all matter and motion? Lets correlate things and find the figurative correspondence of man, universe, destiny and time.
Novelty and expiration in all human experience can be resolved to a certain 'God Function'. The full expression being a 'complex function', as it is with the language of the mathematics, inherently consisting of 'Real' and 'Imaginary' variables. This could be empirical to all forms and formulas of life, material and existence(In totality, its talking 'space-time'); But how are both variables of the equation tied to each other? If there is a hidden course yet also a visible attribution to all life--what is the intermediary of all matter? What if all paths of motion and floating object is simply a 'slowing down' of 'hidden exaction'-- thus supposing both particles and motion are in fact a certain 'illusion' trying to effect another un-manifesting 'particle'; and through the living essence of some sort of a 'complex function'?
We all follow all of this mainly because we have a mind... And this mind is the key to all enigmas of life. Through the mind we may think we know, yet all that we really know could be nothing but imaginative constructs out of complex information processing and sensations... What we 'see' may not be exactly what we interpret, believe/deem to be or infer. Let me truncate this mind talk by suggesting the strange possibilities for anyone to consider... (1) Mind is not necessary something within ourselves, mind can be a medium which is continuous to all forms--both visible and invisible to our senses or perception. (2) We 'qualify' the mind in order to process information, but our crucial essence of 'mortality' could be something beyond mind. (3) Mind is the actual medium which actuate, substantiate and subsisting the 'complex function'. Therefore if we really seek to know who are we really, lets prepare to penetrate and know the depths of our purest desires, seed potentialities and culmination of being--something which suggests that we have a mind which serves our 'lower' nature, delighting in mixture of truth and falseness; yet again there could be a 'higher' part in us which represents the true light and blueprint of all and beyond all causality. Truth of the matter being, all occasional novelty or expiration in human experience save nothing but exacting another hidden order of 'glorification'--salt and light in another dimensional structure/essence.
By Christ Mind, Paul supposes higher nature which consummate both light and darkness of the ordinary qualified mind. Towards unfiltered infinity intelligence, is the ability to see things in full; to meet yourself face to face... To get to know yourself as the Divine, knows you to be One; a particle coming in from the cold only to realize all its ordeal in the domain of 'space-time' that such has been nothing but grand illusion... Having been a complex self determinism in the dark; with the perpetual self conscious mechanism to condition oneself in a 'limited environment' and 'condition' we can now refer as space-time.
That has been a talk on mind in relationship to a self conscious entity; situated in the universe of an infinity active intelligence.
Mind is the agent to animate such infinity intelligence... Now talking about infinity intelligence, we are thus stepping into the realm of true endless possibilities--knowledge and instrumentation, mastery or limitation, imitation/correspondence and magic, materialization and de-materialization...
So lets get down to the physics of mind, light and form; by light i refer a close analogy of light to the 'Radiant Point Source' of Bashar... We 'qualify' the mind to effect 'certainty'; by the virtue of a 'triangle'... This is very important to all who want to study all and everything; from Perpetual Mechanics to Quantum Teleportation. And again, if you desire to sort out a definite 'piece of information' out of an infinite intelligence consider an 'imaginary circle' as your decoder to filter out 'imaginary infinite directional paths' and perfecting 'real coincidences'(exacting rudimentary order out of pervasive chaos).
'Body, Mind and Spirit' or 'Father, Son and Holy Ghost' are three aspects of all manifestations. It is mentioned in various theological doctrines that God is One in Three, TRINITY. In as much this is to be true in actual essence, all our knowledge and experience is to change forever. We can come into a certain interesting comprehension... that we actually live in body-mind-spirit 'complexion' in all scales of being and activity. Lets truncate the talk regarding this complexion by suggesting the possibilities of existing various fractal 'densities' of self awareness, comprehension and influences which invigorate both animate and inanimate things.
Discretion of forms is possible through subtle rhythms in conjunction to vibration... preciously correct to refer such conjunction as the kind of 'sympathetic vibration'... A mind can be a tool... to attune rhythms and to will a pattern. Mind can be a bridge between two adjacent dimensions of visible and invisible worlds to exalt or demote the qualities and attributes of objects under its influence. Objects under influence 'qualify' their state of being/manifestation with some sort of 'magical link' to a certain 'organic constitution' which is hidden/un-manifested--it is the mind which determine the order, state and level of its 'being'. Thus by the term 'densities', it implies that certain context of activities of 'inanimate things' could be in service to~by manifesting the hidden aspects of certain complete 'sphere of influence'. The terminology of a 'Soul' for example, can serve to explain such continuum of reality; to suppose some sort of invigoration-- suggesting the hidden presence of the typical 'sphere of influence'; when the tapestry, complexity of manifestation and causality are associated with something like a 'self', then something like the 'higherself' or even supreme soul can serve the purpose to illustrate the complete scenario and saga of 'Being'. Therefore the soul of anything is a focal point of all assuming intelligence to exact its core activity, manifestation/de-manifestation; and its relationship to other discrete forms of being and activity at certain level of interaction and abiding. It is the living actuating 'information' out of infinite possibilities--infinite traces of a 'single radiant point source'.
kwa ufafanuzi zaidi mtu anaweza rejea tafsiri za lugha ya ivyo vitu vitatu, mwili(body) nafsi(soul) roho(spirit), nafsi ni daraja kufanya mawasiliano kati ya mwili na roho, unapoamua kufanya kitu, mawasiliano yanatoka kwenye nafsi, ishara inatumwa kwenye ubongo na mengineyo hadi kitendo kinafanyika, roho ni daraja kati ya nafsi yako na vitu vilivyo nje ya upeo wa mwili kuviona, mfano unapohisi au kuamua kufanya kitu, kuna mawasiliano ya nje yanayokupa ushauri, na pia unauwezo wa kufanya mawasiliano na mtu mwingine kwa kutumia roho, mfano akiwa mbali, au mtu wa karibu akipata tatizo, mara nyingi hii inatokea pale kunapokuwa na mawasiliano ya karibu na roho ya mwingine, mfano mapacha, mawasiliano yanapotoka nje, roho yako inawasiliana na nafsi, nafsi inaamua na kupeleka maamuzi kwenye mwili kupitia ubongo na hapo viungo vingine vya mwili vinaendelea na uwajibikaji
Bujibuji wewe ili uwe Bujibuji unatengenezwa na vitu vitatu kwa kiingereza tunaita ME MYSELF n I, kikikosekana kimojawapo hakuna Bujibuji bali kuna roho ya@bujibuji au mwili wa Bujibuji
Ili mwanadamu akamilike anahitaji mwili roho na nafsi (self, body n mind/me myself n I) View attachment 298634tukirudi kwenye swali letu LA awali utaona kuwa roho ndio kiunganishi cha body n spirit View attachment 298635lakini hapohapo ili upate moyo unahitaji vitu viwili soul n spirit...
Labda ni vitu vinavyojichanganya Sana lakini ukirudia kusoma kwa utulivu utaelewa
Hili nilikuwa ninalivizia ikiwa wanamashauri mtazidi kujipiga msasa na lugha na dhana...
Kwanza sote tujue, si Kiingereza wala Kiswahili kina 'maana' zaidi katika kuzungumzia lolote lile. Daima ni busara kujitahidi kutumia maneno kwa kadiri ya tafsiri yako mwenyewe na wakati huo huo ujitahidi kuwa fasaha unapodhamiria kuchangia ama kubadilishana mashauri na wanamashauri wengine...
Neno 'Soul' si lazima liwe 'nafsi' kwa Kiswahili... Na kiukweli 'nafsi' kwa mapana ya matumizi yetu ya lugha ingejinasibu na neno 'self' kwa kulinganishwa na neno jingine katika lugha ya kiingereza... Lakini kwa kuwa neno 'nafsi' lina asili ya kiarabu -- na katika kiarabu nafsi ni 'soul'... Basi ninaweza kuvumilia matumizi ya neno 'nafsi' kama 'soul' katika mazingira fulani. Ila mimi nimehuluku msamiati 'sonafi'; kwa kuwa ni dhahiri, neno nafsi halikidhi 'vina vya tafsiri' ya mambo ya mashauri ya ilimu...
Sasa kwa kuwa unatafuta kutanua uwanja wa ilimu yako na fasaha yako ya kuzungumzia jambo, ningeshauri ukumbuke -- kuna kitu katikati ya 'nafsi' na 'soul'... Hicho kitu huchakata kwa namna ya 'emoji' na 'fikra'.. Mawili haya katika moja ndiyo hufanya cha tatu ambacho naona hujakiotea namna yake ya kukiita, kukitaja na kukirejea... Lakini mimi ninakiita 'Saikia'... Sasa kwa kuwa sipendi maneno ya kiingereza kuwa kama ndiyo 'lulu' ya ukweli, ninahuluku misamiati yangu mwenyewe, na ndiyo kwa hiyo ninakuwa ni mwenye kuzungumza na kujerea kwa rejea na upambanuzi wa misamiati yangu mwenyewe...
Saikia ni msamiati wangu, na wote tunaweza kuutumia huu pale itakapotulazimu kuanza kurejea kwenye mashauri ya saikolojia... Na hili neno hili nimelitohoa moja kwa moja kutoka kwenye matamshi ya neno lake katika muktadha wa lugha ya kiingereza -- 'Psyche'...
Katikati ya 'nuru/mwangaza wa ufahamu' na 'nafsi' kuna 'Akili'... Sasa kwenye akili kuna maneno yanahitai kuhulukishwa kwa matumizi yetu ya lugha ya kiswahili.
Sasa, ninaona hadi hapa, kiu ipo kuzungumza ya 'Roho' na 'Sonafi'; lakini 'akili' ni fumbo jingine tata kati ya 'roho' na 'nafsi'
Na kweli ninasema, ni muhari kuchunguza 'mambo ya roho' ikiwa hatujui 'kujichunguza' sisi wenyewe...
Twahitaji kujijua sisi wenyewe, kabla ya kujua ya mungu.
neno 'daraja' unalielewaje? Maana na mifano nimetoa lakini huioni, kwa sababu upeo wako ndo umeishia hapo. Kama umeshindwa kuchanganua wapi nimetoa mfano na wapi nimeeleza maana ya kitu flani, hutakaa uelewe nilichoandika na sina jinsi ya kukusaidia maana wewe ndiye mwenye uwezo wa kuifungua akili yako kuchambua vitu. Asante
neno 'daraja' unalielewaje? Maana na mifano nimetoa lakini huioni, kwa sababu upeo wako ndo umeishia hapo. Kama umeshindwa kuchanganua wapi nimetoa mfano na wapi nimeeleza maana ya kitu flani, hutakaa uelewe nilichoandika na sina jinsi ya kukusaidia maana wewe ndiye mwenye uwezo wa kuifungua akili yako kuchambua vitu. Asante
View attachment 297477hebu soma hii hiyo reincarnation iwavyo interact na rebirth kwa namna nyingine, na habari za karma(cause n effect) kuna kitu kingine kinaitwa samsara-dwelling into the realm of cause and effect life after life without breaking the chain and becoming enlightened
cc: Bujibuji, Tanganyikana
Inakuaje mtu anaamini hivi haya mambo ambayo hayana hata maana.
I mean Reincarnation ndio nini hata mtu ajitahidi kueleza atakuwa anatupa opinion yake wala sio objective knowledge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.