Bhoke,Bhoke,,Bhoke
si maadili ya Kitanzania
Amelidhalilisha sana Taifa
Ikiwa Bhoke atarudi/ataendelea na kibarua chake pale EATv itaongeza kasi ya mmomonyoko wa maadili kwa wabinti hasa wa sekondari ambao ni wapenzi sana wa hiki kipindi.
Hivi utaliwaje uroda dunia nzima ukikutazama???????
Tena na mwanaume uliyekutana nae kipindi kisichozidi hata wiki???
ONYO: MENGI REGINALD tunakuomba umwondoe binti huyu Bhoke aende popote atakapo ili kulinda hadhi ya Eatv au tuipotezee EATv
si maadili ya Kitanzania
Amelidhalilisha sana Taifa
Ikiwa Bhoke atarudi/ataendelea na kibarua chake pale EATv itaongeza kasi ya mmomonyoko wa maadili kwa wabinti hasa wa sekondari ambao ni wapenzi sana wa hiki kipindi.
Hivi utaliwaje uroda dunia nzima ukikutazama???????
Tena na mwanaume uliyekutana nae kipindi kisichozidi hata wiki???
ONYO: MENGI REGINALD tunakuomba umwondoe binti huyu Bhoke aende popote atakapo ili kulinda hadhi ya Eatv au tuipotezee EATv