New Nytemare
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 3,400
- 2,573
Hivi kwanini Itv waislam hawaruhusiwi kuvaa hijabu wala kofia Lakini Rosali sawa huyu mzee ni mdini na mbinafsi tena mbaguzi uhuru wa habari anaoupigania ni wa nini mbona uhuru wa kuabudu anawakandamiza wislam wachaga wana ubinafsi na ukabila Sana tutaona Kama watashika nji mwakani[/QUOTE
hata azam haajiri wakristo mpaka inawalazimu kubadil majina lakin meng mtu wa mungu anaajiri wote fatma,kitenge,mwaipaya wengi tu..