Regina Lowassa na ukabila kwenye kampeni

Regina Lowassa na ukabila kwenye kampeni

Hamna ukabila hapo Mkuu. huyo mama ubunifu tu. Naona anawapasua vichwa sana
 
Wamuulize mgombea ubunge wao wa jimbo la Nzega aliyeenda kuomba kura msikititini kisha watu wakapishana nae mlangoni wakati yeye anaingia.ALIVYOONA HAITOSHI AKAOMBA TANGAZO LA KUMUOMBEA KURA LIRUKE HEWANA MITHILI YA ADHANA.TEH TEHH KWELI CHAMA TAWALA.
 
Mleta uzi ni mburura tu. Lowassa ni Mmasai. Mkewe ni Mrangi wa Kondoa. Kaonyesha ukabila UPI kwa Wachaga? Mapadlock anasemaga yaya bhagosha jukwaani. Mburura hasemi. Maharage ya soya yanamsumbua.
 
Mimi ni msukuma na mkatoliki, nitampigia kura Lowasa mmasai na mluteri tena mwenye mke mchaga. Sitampigia kura yule wa kanda yetu ya ziwa
Kwani ni nani amekukataza kumpigia kura mmasai na mlutheri? Mbona hiyo ni haki yako. Unamtangazia nani sasa.
 
Tunaona hiyo kila mahali. kila mangi ni cdm hakuna cha sera wala hoja ila umangi tu. hoja ya ufisadi wala utawala bora hakuna tena.
 
Hoja sio ukabila hapo, ni kundi au jamii gani alikuwa anaongea nao. Mbona jpm anasalimia kiluga????
 
Kosa liko wapi hapo, mnataka huruma za kura nn!
 
tunaona hiyo kila mahali. kila mangi ni cdm hakuna cha sera wala hoja ila umangi tu. hoja ya ufisadi wala utawala bora hakuna tena.

Mgombea wenu kaogopa ballot box....ameenda kuunda jopo la wasaka tonge,Ngosha kaingizwa mkenge na February Marope wa Bumbuli mtt wa yusuph
 
Leo asubuhi nimepigiwa simu na mtoto wa mjomba anayeishi moshi kanieleza umuhimu wa mabadiliko ya ukawa/lowassa. Kanishawishi kwa kweli, nami nimeanza kuwaambia rafiki zangu hapa nachingwea kwmb kura kwa mamvi.
 
So stupid Asa apo kasema kibaya kipi?
Huu muda mngejitahidi kueneza sera na ilani zenu ccm kuliko kukalia umbea tuu
 
Talalila wewe mleta mada! Ilo la mama tegina ndo umeliona na kukukuna kichwa eti? Mbona kwa sisi tulio mwanza na wengine wanashuhudia magufuli anaongea kisukuma majukwaani km ishara ya kuomba kura kws wasukuma wenzake hilo hamlion? Km ni ukabila tangu lini ukaomba kura kwa kiruga. Ila tu lowasa namkewe ndio umeona wanaleta ukabila.hoja za choon peleka chumban kwako.nawasilisha
 
Swala la wamangi wengi kuwa ukawa sio hoja kwa sababu nani asiejua kuwa wamangi hawanaga akili zilizolala? Mtu mwenye akili njema hawezi shabikia chama kilichojifia chenyewe
 
Hii familia gani mbona ni shiiiida.

[video=youtube_share;0Tl48gwQN84]http://youtu.be/0Tl48gwQN84[/video]



Subhanah Wata allah! sisi tulio waislam na sio wa kaskazini tutasalimika kweli kama familia hii ikingia IKULU!!

Mungu apishilie mbali balaa hilo..... MAGUFULI endelea hivyo hivyo ili utuokee kwenye dhahma hii!
 
Mleta uzi ni mburura tu. Lowassa ni Mmasai. Mkewe ni Mrangi wa Kondoa. Kaonyesha ukabila UPI kwa Wachaga? .

Chama kauziwa na wachaga au hujui hilo? Kwani Mbowe kabila gani
Slaa asiye mchaga na mlutheri wakamtimua
 
Mgombea wenu kaogopa ballot box....ameenda kuunda jopo la wasaka tonge,Ngosha kaingizwa mkenge na February Marope wa Bumbuli mtt wa yusuph
ok tusubiri oct 25. issue sio marope ila wananchi watasema kwa sauti kubwa 'hapana' kwa ukawa. ikulu ni mahali patakatifu.
 
Regina Lowassa mke wa mgombea urais CHADENA wiki iliyopita alijikuta akirudia makosa yanayokemewa na wanaolitakia mema Taifa pale alipofanya kampeni za ukabila wakati akiwaomba kura wanawake wa mjini Moshi.

Akiwa kwenye viwanja vya uhuru park kuzungumza na wanawake wa chadema aliwataka kuwasiliana na ndugu zao kokote waliko na kuwahimiza kumpigia kura mzee.

Alisema "wewe una ndugu yako Mtwara,una ndugu yako Lindi mwambie atafutekura zake kule.Najua kuwa ninyi mna ndugu zenu sehemu nyingi maana hata kijijini kwetu wachaga wapo"Hii ina maana kwamba aliwataka wachaga kuwasiliana na wachaga wenzao kokote waliko na kuwahamasisha kumpigia kura Lowassa.

Gazeti la Raia Tanzania Toleo Na 0482

Hapo hakuna ukabila, mbona John pombe anasalimia kwa lugha za kienyeji ili aonekane kama ndugu yao, si atumie kiswahili tu
 
Back
Top Bottom