Regina Lowassa na ukabila kwenye kampeni

Regina Lowassa na ukabila kwenye kampeni

Ubora

Kwa hiyo Magufuli apokuwa anaongea kisukuma jukwaani alikuwa mkabila..??
 
Last edited by a moderator:
Ubora

Kila nikisoma habari ya MR chin na anayejiita ubora nafikiri akili zao sijui zikoje,kuna kada wa CCM aliwahi kusema kuwa wabunge wa Dar wanafikiri kwa kutumia makalio.

Hiyo habari ya raia mwema unayoripoti hukuleta yote.Mwana jf mwenzangu hivi ukiwa unafanya kampeni na ukawaambia waniombee kura kwa wengine ni ukabila?

Je ukiwapigia marafiki zako na ndugu zako kuwaombea kura kwa Lowassa ni kosa?Alipokuwa Morogoro aliwaambia waniombee kura kwa ndugu jamaa na marafiki nayo ni kosa?

Mbona mnatumia majukwaa kumtukana Lowassa kila kukicha na huku mkitumia Star tv kuwatukania wapenzi kwa gharama yeyote?

Nakuomba kura yako umpe Lowassa ili tuvunje mfumo wa kinyonyaji wa CCM na kila atakayesoma comment yangu hii nakuombea kura yako umupe LOWASSA.
 
Last edited by a moderator:
Watu tukisema Lowassa na mkewe Regina wana ukabila na udini watu wanabisha.Asante kuweka ushahidi.Wanataka kura za wachaga na walutheri
Mimi ni msukuma na mkatoliki, nitampigia kura Lowasa mmasai na mluteri tena mwenye mke mchaga. Sitampigia kura yule wa kanda yetu ya ziwa
 
Sioni kama ni ukabila kwa kauli yake hiyo, hajasema mumchague kwa vile ni mchagga au kutoka Kaskazini bali amesema mtandao wa wachaga ni mkubwa hivyo waliokuwepo kwenye mkutano ambao kwa kiwango kikubwa ni wachaga watumie mtandao huo kupiga kampeni ili mume wake ashinde. Waandishi hao ni wakurupukaji, wasifikili kutengana katika nchi hii kukitokea wao watanusurika labda kama ni Wanyarwanda kama alivyo bosi wao 'Field Marshal World".

Hawa ccm wanachakushindwa kusema:what: wao kila kitu cha wapinzani habari ya kwao yamewashinda wamebakia na labda, mwaka huu lazima mtage wala nyumbu wakubwa..!!
 
Regina Lowassa mke wa mgombea urais CHADENA wiki iliyopita alijikuta akirudia makosa yanayokemewa na wanaolitakia mema Taifa pale alipofanya kampeni za ukabila wakati akiwaomba kura wanawake wa mjini Moshi.

Akiwa kwenye viwanja vya uhuru park kuzungumza na wanawake wa chadema aliwataka kuwasiliana na ndugu zao kokote waliko na kuwahimiza kumpigia kura mzee.

Alisema "wewe una ndugu yako Mtwara,una ndugu yako Lindi mwambie atafutekura zake kule.Najua kuwa ninyi mna ndugu zenu sehemu nyingi maana hata kijijini kwetu wachaga wapo"Hii ina maana kwamba aliwataka wachaga kuwasiliana na wachaga wenzao kokote waliko na kuwahamasisha kumpigia kura Lowassa.

Gazeti la Raia Tanzania Toleo Na 0482

Mleta mada acha upuuzi, tangu lini kuwasiliana na ndugu kwenye nchi hii limekuwa ni kosa. Kwa mfano Mimi ninandugu zangu kijijini wanaonitegemea salsa ninapowambia nashindwa kuwasaidia vizuri kwa sababu mshahara mdogo na ninapowambia wampigie kura mgombea fulani aliyeahidi kuboresha mishahara na hivyo akipita ntaweza kuwasaidia vizuri nalo ni kosa? Na kufanya hivyo haina maana wanalazimika kufuata ushauri Wangu bado wanabaki na utashi wao. Ukabila na udini nyakati za uchaguzi kweli vinatumiwa vibaya watu wanapotosha sana.



huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october

loss au kuhamasisha ukabila
 
Ukabila Na Udini Ni hatari watanzania wenzangu.. Tuepuke Kasoro Hizi.
 
Mbona hilo kufuli lenu likiongea hamfungui mabakuli yenu...mbona pale Arusha mambo ya ukabila ilikuwa sera kwenu nyie kijani???mnatapatapa tu
 
Kumbe Regina Lowassa ni mchagga?

-uzuri ni kwamba Raia Tanzania (gazeti) Halina tofauti na lile la uhuru.
 
TataMadiba hapo ukabila uko wapi! Yaani kusema wawapigie simu ndugu zao kuomba kura za Lowassa ni ukabila!?
 
Last edited by a moderator:
Hamna kosa hapo yupo ardhi ya wachaga anawaambia wapigieni wenzenu muwataarifu akiwa kwa wasukuma atasema hvyo hivyo so sioni tatizo hapo ila akili zako ni zimejaa na zinaongozwa na ukabila.
 
Hii mijamaa inaleta taarifa inachangia yenyewe inajijibu yenyewe yaani...
 
Regina Lowassa mke wa mgombea urais CHADENA wiki iliyopita alijikuta akirudia makosa yanayokemewa na wanaolitakia mema Taifa pale alipofanya kampeni za ukabila wakati akiwaomba kura wanawake wa mjini Moshi.

Akiwa kwenye viwanja vya uhuru park kuzungumza na wanawake wa chadema aliwataka kuwasiliana na ndugu zao kokote waliko na kuwahimiza kumpigia kura mzee.

Alisema "wewe una ndugu yako Mtwara,una ndugu yako Lindi mwambie atafutekura zake kule.Najua kuwa ninyi mna ndugu zenu sehemu nyingi maana hata kijijini kwetu wachaga wapo"Hii ina maana kwamba aliwataka wachaga kuwasiliana na wachaga wenzao kokote waliko na kuwahamasisha kumpigia kura Lowassa.

Gazeti la Raia Tanzania Toleo Na 0482

Mleta mada acha upuuzi, tangu lini kuwasiliana na ndugu kwenye nchi hii limekuwa ni kosa. Kwa mfano Mimi ninandugu zangu kijijini wanaonitegemea salsa ninapowambia nashindwa kuwasaidia vizuri kwa sababu mshahara mdogo na ninapowambia wampigie kura mgombea fulani aliyeahidi kuboresha mishahara na hivyo akipita ntaweza kuwasaidia vizuri nalo ni kosa? Na kufanya hivyo haina maana wanalazimika kufuata ushauri Wangu bado wanabaki na utashi wao. Ukabila na udini nyakati za uchaguzi kweli vinatumiwa vibaya watu wanapotosha sana.



huyu jamaa amejidhalilisha sana,amekuwa icon ya unafiki na uchu wa madaraka,atajuta sana baada ya october

loss au kuhamasisha ukabila
 
Mbona ya Msukuma na ccm kusema Magufuli achaguliwe kws sabbu ni msukuma?Hili gzzeti halikuwasikia?
 
Mara waruthel hivi kweli huyu ni rais mdini hv lowassa hafai
 
Back
Top Bottom