TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,868
- 5,753
Hii familia gani mbona ni shiiiida.
Regina Lowassa mke wa mgombea urais CHADEMA wiki iliyopita alijikuta akirudia makosa yanayokemewa na wanaolitakia mema Taifa pale alipofanya kampeni za ukabila wakati akiwaomba kura wanawake wa mjini Moshi.
Akiwa kwenye viwanja vya uhuru park kuzungumza na wanawake wa chadema aliwataka kuwasiliana na ndugu zao kokote waliko na kuwahimiza kumpigia kura mzee.
Alisema "wewe una ndugu yako Mtwara,una ndugu yako Lindi mwambie atafutekura zake kule.Najua kuwa ninyi mna ndugu zenu sehemu nyingi maana hata kijijini kwetu wachaga wapo"Hii ina maana kwamba aliwataka wachaga kuwasiliana na wachaga wenzao kokote waliko na kuwahamasisha kumpigia kura Lowassa.
Gazeti la Raia Tanzania Toleo Na 0482
Regina Lowassa mke wa mgombea urais CHADEMA wiki iliyopita alijikuta akirudia makosa yanayokemewa na wanaolitakia mema Taifa pale alipofanya kampeni za ukabila wakati akiwaomba kura wanawake wa mjini Moshi.
Akiwa kwenye viwanja vya uhuru park kuzungumza na wanawake wa chadema aliwataka kuwasiliana na ndugu zao kokote waliko na kuwahimiza kumpigia kura mzee.
Alisema "wewe una ndugu yako Mtwara,una ndugu yako Lindi mwambie atafutekura zake kule.Najua kuwa ninyi mna ndugu zenu sehemu nyingi maana hata kijijini kwetu wachaga wapo"Hii ina maana kwamba aliwataka wachaga kuwasiliana na wachaga wenzao kokote waliko na kuwahamasisha kumpigia kura Lowassa.
Gazeti la Raia Tanzania Toleo Na 0482