REGGAE MUSIC Special Thread

REGGAE MUSIC Special Thread

Shiiiit, tulia mdogo wangu, sijakuomba wewe, hata hivyo nishapata msaada toka kwa mdau, wewe unafanya nini hapa, kwanini usiende huko You-Tube

Sent from my iPhone 6s using Tapatalk
Kama "shiiit" ni tusi basi mwenyewe!
Huu uzi ni wa majadiliano na wala sii wa kutupia video! Atupiaye video afanya hivyo si kwa ombi la mtu!
Hii sio "roving dj" ya jackob usungu kule tv ya kanda ya ziwa.
 
Peace and Love kwa kizazi cha kwanza cha reggae akina Burning Spears, Senzo, Lucky Dube, Alpha Blondy, Macka B na wengineo wote.

Naomba nijikite kwenye kizazi cha pili cha reggae, hapa kuna vijana wanafanya vizuri sana nikianza na Chronixx, huyu mtu kwa upande wangu ni new version ya Bob Marley..
Sikiliza hii Tenement yard



Sent using Jamii Forums mobile app
ni certified new bob marley ni fundi sanaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom