Mahmood
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 7,908
- 2,478
Jamaa walikuwa wanacheza mpira. Kwa bahati mbaya mchezaji mmoja akaanguka na kuzimia. Refari alikuwa mzungu lakini wachezaji wote ni waswahili. Mchezaji mmoja akataka kumwambia refari (Mzungu) kuwa huyu jamaa kazimia. Akafikiria amwambie nini refarii kwa sababu refari hajui kiswahili. Akafikiria kuwa neno "kazi" ni "Job" kwa kizungu, na neno "mia" ni "hundred" kwa kizungu, akasema sasa nimejua nini nimwambie refarii, akamwendea refarii na kumwabia hivi "Hello refari this man kajob handred".