Refa Frank Komba na mwenzake wafungiwa

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,006
Reaction score
26,151
Mwamuzi wa kati Hance Mabena na mwamuzi Msaidizi Frank Komba wameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano ya NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kwa kuonyesha mapungufu ya kiuchezeshaji na kushindwa kutafsiri vyema sheria za mpira wa miguu kwenye mechi ya Simba dhidi ya Pamba Jiji.

Je, hawa wanastahili kufungiwa tu ama waondoshwe ? Timu iliyopoteza kwa maamuzi ya hawa inaweza kufidiwa point?

Kwanini sheria na kanuni zinawabeba?
 

Attachments

  • IMG_1967.jpeg
    196.1 KB · Views: 6
Walikosea kitu gan kwenye mchezo huo

Kwa wale waliopata mda wa kutazama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ