Redmi Note 14 Pro 5G - Inauzwa (Dar es Salaam)

Redmi Note 14 Pro 5G - Inauzwa (Dar es Salaam)

Saimony

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2015
Posts
240
Reaction score
166
Habari wakuu, nauza simu yangu binafsi ikiwa katika hali nzuri kabisa. Sababu ya kuuza ni kupata changamoto ya kifedha inayohitaji utatuzi wa haraka.
Sifa za Simu:
Model: Redmi Note 14 Pro 5G
RAM: 8GB
Storage: 256GB
Battery: 5500mAh (Inakaa na chaji vizuri sana)
Hali: Haina mchubuko wala tatizo lolote la kiufundi.
Warranty: Bado ip
Box: Hamna
Bei: TSH 600,000 (Mazungumzo yapo kwa aliye serious)
Mahali: Dar es Salaam
Mawasiliano: 📞 0789532647 (Piga au WhatsApp)
Simu haina shida yoyote, unaruhusiwa kuikagua vizuri kabla ya kufanya malipo.
Karibuni sana!
 

Attachments

  • IMG-20260128-WA0013.jpg
    IMG-20260128-WA0013.jpg
    345.8 KB · Views: 6
  • IMG-20260128-WA0010.jpg
    IMG-20260128-WA0010.jpg
    321.1 KB · Views: 11

Similar Discussions

Back
Top Bottom