Redio Free Africa mnakera sana, huku Dodoma. Yaani redio yenu kila siku ni kwikwi. Hakuna msikilizaji anapenda tena kuwasikiliza japo kuwa baadhi ya vipindi vyenu ni vizuri, lakini imekuwa kero. Matangazo hayasikiki kwa sababu sauti za watangazaji hazina tofauti na mtu mwenye kwikwi.
Bora mfunge masafa yenu huku Dodoma, mkabaki na sehemu ambazo mnasikika vizuri. Sielewi TCRA kwa nini wanawafumbia macho badala ya kuwanyang'anya masafa na kugaia Redio zingine zenye uhitaji. Huku mnapatikana kwenye FM 89.0, Bora namba hiyo wakapewa hata Wasafi FM, nyie mmeshindwa kuboresha.
Fungasheni muende zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora mfunge masafa yenu huku Dodoma, mkabaki na sehemu ambazo mnasikika vizuri. Sielewi TCRA kwa nini wanawafumbia macho badala ya kuwanyang'anya masafa na kugaia Redio zingine zenye uhitaji. Huku mnapatikana kwenye FM 89.0, Bora namba hiyo wakapewa hata Wasafi FM, nyie mmeshindwa kuboresha.
Fungasheni muende zenu
Sent using Jamii Forums mobile app