Lady Unbreakable
Member
- Feb 20, 2013
- 33
- 5
Mbona naona kama these agencies are not helpful jamani, mtu unasambaza CV kote ila none of them hata kuita kwenye interview does it mean mimi sina kigezo hata kimoja katika hizo kazi wanazoletewa au ni nini? Yaani sijui maana ya kusoma sasa, ukiwa fresh graduate bila expirience you are in trouble. Tunafundisha nini wadogo zetu na hii hali.:angry: