Hckcode8
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 370
- 245
Habari za humu wakuu!!
Natumai wote ni wazima na mnaendelea na ujenzi wa taifa letu, bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada husika.
Wengi wetu tumejikuta tukipoteza namba nyingi za simu za watu wa muhimu na kutozipata tena au kuzipata kwa shida sana . Sasa leo kwa ufupi tutajifunza kurudisha majina yako kupitia Facebook Lite.
So fuata hatua zifuatazo
(1) Install Facebook Lite katika simu yako
(2) Log in then nenda setting
(3) Chini kabisa utakuta option mbili moja ni imported contacts na contact uploading
(4) Enter hapo kwenye imported contacts na utaona contacts zako zote
(5) Ili kupata namba select SHOW OTHER INFORMATION na itakubidi ucopy na usave upya
Kama kuna tatizo usisite kuuliza kwenye comment.
NB: TUMIA FB LITE TU ILE OFFICIAL HAINA HII KITU
Aaron
Natumai wote ni wazima na mnaendelea na ujenzi wa taifa letu, bila kupoteza muda naomba niende kwenye mada husika.
Wengi wetu tumejikuta tukipoteza namba nyingi za simu za watu wa muhimu na kutozipata tena au kuzipata kwa shida sana . Sasa leo kwa ufupi tutajifunza kurudisha majina yako kupitia Facebook Lite.
So fuata hatua zifuatazo
(1) Install Facebook Lite katika simu yako
(2) Log in then nenda setting
(3) Chini kabisa utakuta option mbili moja ni imported contacts na contact uploading
(4) Enter hapo kwenye imported contacts na utaona contacts zako zote
(5) Ili kupata namba select SHOW OTHER INFORMATION na itakubidi ucopy na usave upya
Kama kuna tatizo usisite kuuliza kwenye comment.
NB: TUMIA FB LITE TU ILE OFFICIAL HAINA HII KITU
Aaron