Kubwjing JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 1,849 Reaction score 2,802 Sep 19, 2025 #21 Pest said: Unaanza na mshahara wa cheo kipya,kama wa zamani ulikuwa mkubwa unashushwa Click to expand... Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tu
Pest said: Unaanza na mshahara wa cheo kipya,kama wa zamani ulikuwa mkubwa unashushwa Click to expand... Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tu
H havanna JF-Expert Member Joined Sep 17, 2016 Posts 2,503 Reaction score 2,738 Sep 20, 2025 #22 Kubwjing said: Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tu Click to expand... Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio D
Kubwjing said: Sasa wanafanya hivyo kisa nini? Au kukomoana tu Click to expand... Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio D
Kubwjing JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 1,849 Reaction score 2,802 Sep 20, 2025 #23 havanna said: Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio D Click to expand... Kama kada ipi?
havanna said: Kuna baadhi ya kada wamebadili muundo, unaanza na daraja E sio D Click to expand... Kama kada ipi?
H havanna JF-Expert Member Joined Sep 17, 2016 Posts 2,503 Reaction score 2,738 Sep 21, 2025 #24 Kubwjing said: Kama kada ipi? Click to expand... HR ukifanya recate unaabza na E
D Metakelfin JF-Expert Member Joined Mar 23, 2017 Posts 3,728 Reaction score 4,172 Sep 21, 2025 #25 Recategarization Ina faida na hasara. Mtu unakaa miaka 15 kazini ndio unaenda kusoma ukifanyiwa recategarization unaanza kulipwa mshara wa mtumishi mpya kwa kada husika
Recategarization Ina faida na hasara. Mtu unakaa miaka 15 kazini ndio unaenda kusoma ukifanyiwa recategarization unaanza kulipwa mshara wa mtumishi mpya kwa kada husika