Recategarization Ina faida na hasara.
Mtu unakaa miaka 15 kazini ndio unaenda kusoma ukifanyiwa recategarization unaanza kulipwa mshara wa mtumishi mpya kwa kada husika
Sorry, recategirization ndio ikoje. Je kwa mwalimu mwenye diploma akaenda kujiendeleza Degree ya ualimu maybe after miaka 9. Mnataka kunambia atarudishwa TGTS D?
Sorry, recategirization ndio ikoje. Je kwa mwalimu mwenye diploma akaenda kujiendeleza Degree ya ualimu maybe after miaka 9. Mnataka kunambia atarudishwa TGTS D?