Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Napenda kuhamasisha wenye kuweza kutujuza reasonable comparison kati ya Magufuli na Lowassa katika kusimamia rasilimali za Taifa. Hili lizingatie wajibu na majukumu yao kama mawaziri, na usimamizi wa matumizi ya fedha katika wizara walizozisimamia.
Reference point ziwe factual na si porojo. Credible source of reference ya kwanza ni ripoti ya CAG na ya pili ni bajeti za wizara na hansadi za bunge.
Reference point ziwe factual na si porojo. Credible source of reference ya kwanza ni ripoti ya CAG na ya pili ni bajeti za wizara na hansadi za bunge.