Real Problem Between Kagame and Kikwete is Snitching

Status
Not open for further replies.

Binafsi sioni tofauti yoyote Kati ya KAGAME na JK!Kama ni kuiba wote wanaiba,Kagame anaiba madini,JK anaiba gesi-Mtwara(maana hajapata baraka za kuvuna gesi- Mtwara),na kama kubaka raia ,M23 na JW yote yanabaka!(Rejea hotuba ya CUF kuhusu madhila wanayofanya wanajeshi mtwara).

Labda tofauti Kati ya Kagame na JK ni kuwa JK anafanya madhila hayo dhidi ya wananchi wake mwenyewe!
 
Kuna haja tena ya dharura kuangalia upya suala la uanachama wa Tanganyika katika EAC. Hii jumuiya imejaa ma-opportunist, wanafiki, wazandiki, majambazi walioko madarakani, wauwaji ambao ni "heads of states", na wabinafsi waliopindukia wakati sisi tukijidai "wakarimu". Tuachane na EAC tu-focus zaidi SADC - Mwalimu hakuwa mjinga; aliwafahamu fika majambazi ya kaskazini.
 

I do not think if your thinking capacity is proper.The indictment of President Kagame will not be caused by the influence of President Kikwete to the west,we all know that the UN itself has been releasing various reports claiming Kagame supporting M23.So its the UN that will influence ICC to indict Kagame not political engineer Kikwete.If you want our president to pay price personally,just click out your plans in mind,if Kagame thinks he can play Tanzania,we are ready.There is no any country can fight tanzania in East Africa,may be kenya can try.
 
angejua Kagame - ushauri wa Kikwete kwake unaweza msaidia asiburuzwe ICC!!
 
Isn't it strange that recently Bashir killed our soldiers in Darfur and Kikwete is cosying up to him as if nothing happened. Kagame has not and will never be a threat to Tanzania.

I expected your name to be very smart......you could ask yourself if 7 Tanzanians were killed, how many 'rebels' were killed on the spot after arrival of the rescue commando force? If you are really Jasusi I have no doubt you know this. Furthermore, if you are really Jasusi you could have known how Kigali is uneasy with UN Intervention Force
 
I was talking about Darfur. Bashir is responsible for the deaths of our 17 soldiers there. Yet we are cosying up to him as if he is such a good guy. Why buy a confrotation with Kagame? Let us take on Bashir and his murderous regime.
 
I was talking about Darfur. Bashir is responsible for the deaths of our 17 soldiers there. Yet we are cosying up to him as if he is such a good guy. Why buy a confrotation with Kagame? Let us take on Bashir and his murderous regime.

Jasusi let me ask you, after that ambush in DARFUR do you know how many of the attackers were caught on spot and counter-attacked by rescue commando force? What Kikwete has asked Bashir is to get those responsible for the planning of that ambush, but not the attackers themselves....why...?
 

I do not know because I have not read it anywhere. If you have information about it please share it with us.
 
Hivi, hii issue ya DRC, Mbona SA wamepeleka Vikosi vyao lakini Hatumuoni President Zuma akikesha Kutaka Umaarufu through that, Yuko Busy na Kujenga Nchi yake, lakini wa Kwetu, kutwa kucha kutaka Sifa, Haya sasa, Jusi Clinton nae Kaja Kutembelea Miradi yao Hapa Kwetu.
Wa Tanzania tusikubali Mtu Mmoja kutoka Msoga atuingize Matatizoni
 
Hekaya za abunuwasi
 
Uzuri Kagame ata-deal na Kikwete personally na si watanzania, nadhani ana mpango wa kum-Habyarimana au kum-Mwaikusa.
 

Binafsi si mpenzi wa serikali ya JK na yeye mwenyewe pamoja na CCM yake. Hata hivyo,nimefuatilia mjadala huu kwa sana lakini hoja yako hii inafikirisha na inaingia akilini kwa kiwango cha juu sana!!. Mimi kwa haeshima zote nakupa BIG LIKE ya maandishi kwa sababu hata akifanikiwa kutengeneza haya A - F yatakuwa na manufaa ya vizazi vingi vijavyo hata kama yeye JK na CCM yao tusiowapenda watakuwa wameondoka!!...Muhimu ni kwamba JK asibweteke akadhani kwamba hawa Wa - china, U.S.A na Brazil watakuwa marafiki zake siku zote. Ni marafiki tu kwa sasa kwa sababu likely THEY ARE AFTER SOMETHING na kamwe AANGALIE ASIJETUUZA KWA HAWA JAMAA!!

So I perfectly agree with you sir/maadam!!
 
Sababu anajua hao waliokuwa wanaishi hapa Tanganyika, wengi wao ni against Kagame. Mfano, JK akikorofishana na Obama, basi watanganyika wote wanaoishi marekani wapewe siku 14 kurudi bongo. Do you think it is fair? siku 14, zitatosha kuuza mali zisizo hamishika? JK = Mugabe
 

Uncle Deo kamalizie ile shughuli yakoya jana! Swala la kagame na TZ lione hivyo. Huwezi kuongelea Kagema ukasahau Mseveni. Unajua msimamo wa mseveni? Kagema alikuwa intel mkuu ktk jeshi la Uganda hivyo angalia mnachokiongea hapa. I hope ndugu yetu kikwete anajua anachotaka kukifanya ila ajue watanzania wana matatizo ya nchi yao na wala si kagema!
 
Kwahiyo sababu hasa hapa ni JK kwenda kumchongea mwenzie ICC ili ashtakiwe?Hata mimi nilihisi kitu maana nilijiuliza sana inakuwaje Kagame achukie hivi kwasababu ya ushauri tu?Kumbe kulikuwa jambo kubwa zaidi ya hili la ADVICE?
If what is mentioned here is true, then President Kagame should pay by appearing before of ICC as a lesson to what he has been doing to our fellow brothers and sisters in DRC and a lesson to other greedy African leaders. God bless Africa, God bless Tanzania
 
Safari ya clinton na Blair kuja bongo hivi karibuni ni lazima ina namna maana hao ni washauri wakubwa wa Kagame
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…