Kisha kuna mechi mbili kali sana kati ya Arsenal na L'pool na Madrid na BARCA, zote zinaanza wakati mmoja 6.00pm EAT. Itakuwa shida sana kutulia kwenye channel moja.
Mechi ya Arsenal na LFC iko jumapili.
Mechi ya Barca na Madrid inaanza saa ngapi?
Poa, tutajitahidi kwa kadri ya uwezo wetu.Mnao view LIVE turushieni hata matokeo hapa.
Mechi ya Arsenal na LFC iko jumapili.
Mechi ya Barca na Madrid inaanza saa ngapi?
Hwa jamaa nadhani walibadirisha kwa sababu ya mechi yao ya jumatano, ebanae hii atmosphere ya Barnabeu si mchezo. Fabio Capello kasepa mechi za England kaenda kuangalia El Clasico.Bora umeuliza hili swali Mkuu. Niliangalia ratiba siku za nyuma nikaona iko Jumapili kuanzia 6.00pm EAT sasa hivi naangalia tena naona inaanza 11.00pm EAT leo hii. Kama si kuuliza kwako basi nisingeiona mechi hii. Shukrani
Mourinho anataka awachoshe Barca, mambo ya smash and grab dakika za mwishoni.Duh! Real inaonesha kuzidiwa sana, hawagusi mpira.