Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #19,361
Kuna press conference ya Spain inaendelea saiz kuna aduriz na berrelin na wameomba kutokuulizwa chochote kuhusu de gea maana hawajui kinachoendelea,
Wanasema wamebadilisha fasta, De Gea alitakiwa awepo kwenye press conference. In other news AS wanaripoti kuwa Spanish National Police sources have confirmed kwamba documents zilizokuwa published na media leo ni authentic na ziko mikononi mwa judiciary.